Kibonde amtetea Ngeleja

Mimi nadhani mmemuelewa KIBONDE vibaya,huwa mimi napenda sana kusikiliza kipindi cha JAHAZI na kweli ni kizuri,kuhusu kibonde yeye yuko huru kusifia chama chochote kinachoomba kufanyiwa hivyo,nikiwa na maana kwamba kama wapepewa hela za kusema kitu na wao wako kibiashara why not?CDM pia wanaweza fanya hivyo?naomba jamani msiweke vitu ambacho haviko huku,kama afya ya mtu sasa hapo ndo akili ndogo inaongoza akili kubwa,inaingiaje hapa kwenye huu mjadala
 
Mbona mnamsahau Zembwera wa eatv and radio? Naye huwa ni mtu wa kukurupuka na kujipendekeza kwa magamba sana. Tasnia ya habari imevamiwa jamani, mtu kutoka uchekeshaji wa mtaani mpaka utangazaji wa tv na radio. Sijui elimu yake kwa kweli.
 
samahani kwa watu wafupi ila kiukweli watu wafupi wanamatatizo sana kwaio sina haja ya kumshangaa kibonde
 
NDUGU Lekakui if you cant convience confuse plizz
 
Shagiguku mkuu nimeingiwa na wasiwasi na afya yako mbona umekuwa mkali hivi mbona ni mambo madogo sana karne hii.kazi kweli kweli mkuu
 
Kwani kibonde ana ukimwi au? mbona ana mtoto mchanga? maskini wee... sasa watoto wake si watazomewa mashuleni?
 
huyo naye ni wale wale wa kitu kidogo hana lolote huyo kibonde tangu enzi za kampeni alikuwa anapiga vita sana upinzani huenda kapata hela kigodo kutoka kwa huyo mwenye uchungu wa kuvuliwa uwaziri pumbaavuuuuuuuuuuuu atakula jeuri yake sasa
 
Huyu Kibonde ni dhaifu nafikiri mpaka ubongo wake!

Huyu mshikaji Mi simpendi kabisa kwa sababu ya utumwa wake alioukubali ndani ya mafisadi na kujionyesha wazi kuwa ni gamba full.

Huyu ni zigo kwa Taifa letu!
mkuu jamaa kasharidhika na pesa ya kula haimsumbui ndio maana ana kiburi...laiti kama angekumbuka shida na tabu za watanzania wenzake hasingethubutu kuwa hivyo alivyo.
 
mwacheni mshikaji abwabwaje jamani, jamaa anatafuta UDC au ubunge wa kuteuliwa
 
Duu! kweli CDM kina wenyewe naona mkanganyiko wa mambo kweeli, siasa, personal issues, unyanyapaa! ustaarabu karibu na zero, wapo wachache sana ndio wastaarabu kuanzia viongozi hadi supporters; hivi wakichukua nchi itakalika kweli. Kibonde is so tallented, he can view things in 360 degrees, angalia issue ya Babu loliondo alikuwa na views ambazo wengi walimshangaa, but look now what has happened! pia ktk siasa ana haki kuwa chama cho chote sio lazima awe CDM, na haitawezekana media zote zi-support CDM:nono:
 
Is this the home of Great Thinkers? Look at ideas of Great thinkers like Gandhi
 

Attachments

  • Gandhi msg.jpg
    40.8 KB · Views: 52

who is kibonde by the way, huyu jamaa ni kilaza na hajui chochote zaidi ya kuropoka kwa asiyoyajua sasa aturopokee matokeo yake ya form 4!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…