hata humjui una matatizo ya akili nadhani.yaan watu ni wajinga kwel,nyie mnakaa na kuanza kujiuliza kale kafloo kamoja na kale anakonyanyua kanyuma maswali?kale ni kadogo sana ni ka msaki,kachaga moja hivi alikuwa kuli tegeta kwa ndevu zamani,baadae akapata mtaji akafungua pale pale tegeta mashine ya kusaga sembe na ndipo alipopata vihela kidogo akaanzisha kampuni ya kufyatua matofali pale pale kibo lakini baada ya kufanya kwa muda alihama pale na kuhamia maeneo ya nadhani ni dawasa,na pale kibo watu wakajua kafilisika kumbe alikuwa anajipanga kuja kuajenga kale kafloo kamoja kanako wauma.pia anamiliki chuo cha ualimu kisanga na pia ni agent wa cement za twiga ambavyo vyote hata wewe unaweza kuvifanya.wale mnaosema ni kamjengo ka mama anna mkapa,ni kumdharirisha mama wa watu kwa sababu hawezi kumili kajumba kanyasi kama kale.fuatilia mijengo ya kishimba au lakairo mwanza,au libakhresa au limengi au lidokta slaa kule mbweni au limbowe lile linalomiliki mbez beach high skul au limama rwakatale au limohamed au li
msaki hawezi kuniajiri.mimi ninajilipa interms of dollar.ni nani anae weza kuniajiri.nimeji ajiri na sidhani katika maisha yangu naweza kuja omba ajira.msaki huwa ananitafuta ili niweze kumshaur na angalau akue kidogo kiuchumi
Masaki hakuwa kuli amesoma mwaka mmoja mbele yangu Ilboru special School kamaliza mwaka 1992 form 4. Hakuwa mlala hoi kama unavyosema ni middle class kama wanafunzi wengine wa Ilboru
msaki hawezi kuniajiri.mimi ninajilipa interms of dollar.ni nani anae weza kuniajiri.nimeji ajiri na sidhani katika maisha yangu naweza kuja omba ajira.msaki huwa ananitafuta ili niweze kumshaur na angalau akue kidogo kiuchumi
msaki hawezi kuniajiri.mimi ninajilipa interms of dollar.ni nani anae weza kuniajiri.nimeji ajiri na sidhani katika maisha yangu naweza kuja omba ajira.msaki huwa ananitafuta ili niweze kumshaur na angalau akue kidogo kiuchumi
Thibitisha...Mtu kauliza, kasema ana shida muhimu, hata hujajua shida yake ni nini usharukia conclusions kwamba ni mjinga.
Hapa mjinga nani?
Mkuu umenichana mbavu, sisi wengine tunachati JF huku tupo juu ya miti kupata Internet lakini ukiniuliza nitakwambia nipo jikoni kwa jk.Hiki kitendo cha kutumia hili jamvi bila ya kuonana kwa sura kunasaidia sana. Yaani kunaaokoa mengi mno, mtu anaweza kusema chochote cha kujisifia, lakini ndo hivyo tena hatuwezi jua sisi wengine.
Masaki hakuwa kuli amesoma mwaka mmoja mbele yangu Ilboru special School kamaliza mwaka 1992 form 4. Hakuwa mlala hoi kama unavyosema ni middle class kama wanafunzi wengine wa Ilboru
yaan watu ni wajinga kwel,nyie mnakaa na kuanza kujiuliza kale kafloo kamoja na kale anakonyanyua kanyuma maswali?kale ni kadogo sana ni ka msaki,kachaga moja hivi alikuwa kuli tegeta kwa ndevu zamani,baadae akapata mtaji akafungua pale pale tegeta mashine ya kusaga sembe na ndipo alipopata vihela kidogo akaanzisha kampuni ya kufyatua matofali pale pale kibo lakini baada ya kufanya kwa muda alihama pale na kuhamia maeneo ya nadhani ni dawasa,na pale kibo watu wakajua kafilisika kumbe alikuwa anajipanga kuja kuajenga kale kafloo kamoja kanako wauma.pia anamiliki chuo cha ualimu kisanga na pia ni agent wa cement za twiga ambavyo vyote hata wewe unaweza kuvifanya.wale mnaosema ni kamjengo ka mama anna mkapa,ni kumdharirisha mama wa watu kwa sababu hawezi kumili kajumba kanyasi kama kale.fuatilia mijengo ya kishimba au lakairo mwanza,au libakhresa au limengi au lidokta slaa kule mbweni au limbowe lile linalomiliki mbez beach high skul au limama rwakatale au limohamed au li
msaki hawezi kuniajiri.mimi ninajilipa interms of dollar.ni nani anae weza kuniajiri.nimeji ajiri na sidhani katika maisha yangu naweza kuja omba ajira.msaki huwa ananitafuta ili niweze kumshaur na angalau akue kidogo kiuchumi
hata humjui una matatizo ya akili nadhani.
Anaitwa Valence Msaki,Form Six Ilboru mtu wa kirua vunjo,hakutaka kuendelea chuo akaja kawe,kaka yake Vandelin Msaki alikua na duka na mashine ya kusaga kwa sasa ndiye mwenye Hotel mapambano Sinza,kaka mtu akampa mtaji sh 42000 tuu jamaa akawa na mashine mwananyamala,tegeta anauza sembe ya ugali kwa baiskeli mwenyewe,akaingia ktk cement (twigacement)na matofali,usafirishaji malori,ana shule Wazo Hill sekondari,Kibo complex na viwanja kibao.Jamaa ni hard worker haswa pia ni risks taker siyo ktk biashara haramu hapana!pia amemnyanyua mdogo wake Stephen naye ana tipper za kufa mtu na yard ya tsh 300m.Amekua na nidhamu na mikopo ya crdb sana hata akitaka mkopo wa tsh 5bn anapewa
Oh! Sorry, nilifikiri tupo kwenye ile mijadala...Nithibitishe nini?
Unajua kusoma?
Msaki mkubwa ndiye anakaa basi haya,huyo wa kibo anakaa nyaishozi.Pia hakuna wake zao ambao walikua ma housegirl walikua nurses.Ukisema alikua house girl ina maana ni mke wa pili au?acha kutakana wanawake wenzakoUko sahihi, ni ya Msaki, ila hakai Dawasa anakaa Basihaya....pia ana gereji pale pale Basihaya, msaada gereji anaendesha X-Trail ya kijivu, huyo ambae ni mkewe, alikuwa house girl wake zamani kabla hajakamata mpunga.
Anaetaka namba zake aniambie...
ni ya dada mmoja, kama una access na LinkedIn unaweza pata more details, yuko LinkedIn
halafu ukishajua ili iweje sasa...