Kibo Complex ni ya nani?

Kibo Complex ni ya nani?

msaki hawezi kuniajiri.mimi ninajilipa interms of dollar.ni nani anae weza kuniajiri.nimeji ajiri na sidhani katika maisha yangu naweza kuja omba ajira.msaki huwa ananitafuta ili niweze kumshaur na angalau akue kidogo kiuchumi

Wewe sio bure , mara ulikatwaga nyeti , mara wewe ni mwalimu , mara leo unalipwa kwa dola na mara hautaki kuajiriwa. Amakweli wewe ni issa ramadhan... Hongera sana
 
Msaki mkubwa ndiye anakaa basi haya,huyo wa kibo anakaa nyaishozi.Pia hakuna wake zao ambao walikua ma housegirl walikua nurses.Ukisema alikua house girl ina maana ni mke wa pili au?acha kutakana wanawake wenzako

kutakana ndio nini?
Punguza povu ndo uongee
 
Ni ya mchaga mmoja mwenye shule ya sekondari WAZO. anaitwa MSAKI ila nasikia hiyo ni danganya toto tu ni ya mama ben
Hakuna mwenye hisa haswa wanasiasa au mtu yoyote ktk mali zake!na siku zote hataki kuzoeana na mwanasiasa yoyote.Urafiki unakuwepo anapokua na shida ktk hiyo taasisi na wewe ndiye mhusika basi
 
Ukisha kuwa na tabia yakujadili maisha ya watu kila siku utakuwa hivyo, jiulize lini na ww watu watakujadili?
 
msaki hawezi kuniajiri.mimi ninajilipa interms of dollar.ni nani anae weza kuniajiri.nimeji ajiri na sidhani katika maisha yangu naweza kuja omba ajira.msaki huwa ananitafuta ili niweze kumshaur na angalau akue kidogo kiuchumi
sasa kama hawezi kukuajiri hizo genye za kuhangaikia maisha yake umezitoa wapi
 
Hakuna lolote muulizaji ana ugonjwa majunguliasis na chademaliasis vyote kwa pamoja ni husdaliasis.... dawa yake no tembe 30 october
 
Nasema hayo kwa kuwa mimi ndiye niliyempa wazo la kujenga jengo lile pale baada ya kuona jengo kibaoni lililo na nbc na petro station limepata wateja huku halina viwango huku lile eneo lake la zanzibar akipiga tofali tuu!now is coming ToTAL petrol station at nyaishozi area

Nimeona greda limeshushwa juzi pale nyaishozi kwenye uwanja upande wa kushoto kama unatokea mjini, huo uwanja walikuwa wanavunja kokoto na ni prone kwa mafuriko. Kama wewe kwrli ndio ulimshauri ajenge Kibo, badi nimekuvulia kofia.
 
yaan watu ni wajinga kwel,nyie mnakaa na kuanza kujiuliza kale kafloo kamoja na kale anakonyanyua kanyuma maswali?kale ni kadogo sana ni ka msaki,kachaga moja hivi alikuwa kuli tegeta kwa ndevu zamani,baadae akapata mtaji akafungua pale pale tegeta mashine ya kusaga sembe na ndipo alipopata vihela kidogo akaanzisha kampuni ya kufyatua matofali pale pale kibo lakini baada ya kufanya kwa muda alihama pale na kuhamia maeneo ya nadhani ni dawasa,na pale kibo watu wakajua kafilisika kumbe alikuwa anajipanga kuja kuajenga kale kafloo kamoja kanako wauma.pia anamiliki chuo cha ualimu kisanga na pia ni agent wa cement za twiga ambavyo vyote hata wewe unaweza kuvifanya.wale mnaosema ni kamjengo ka mama anna mkapa,ni kumdharirisha mama wa watu kwa sababu hawezi kumili kajumba kanyasi kama kale.fuatilia mijengo ya kishimba au lakairo mwanza,au libakhresa au limengi au lidokta slaa kule mbweni au limbowe lile linalomiliki mbez beach high skul au limama rwakatale au limohamed au li

Mkubwa twende mbele turudi nyuma, jamaa kajitahidi. Na pia kachukua risk ambayo i'm 100% sure wewe usingeweza kuichukua. Tumpe credit jamaa mahitaji muhimu twapata bila ya kwenda mlimani city au mjini.

Sifikirii ndugu yangu kama ungekuwa mil 200 au 300 za kuwekeza, ungejenga kamall kama kale.

Maoni tu.
 
mheshimiwa Masaki ,suala la kujichukulia shria mikononi ni fano mkubwa ambao unaonyesha jinsi gani sheria imeoza nchini,angalia jeshi la police jinsi lilivyokuwa duni hawana communication ya kutosha ,magari na vyombo vingine vya mawasiliano vimeshindikana kupatikana kutoka kwa government hii inachangia sana kwa jeshi hilo kutofanya kazi zake kwa ufanisi zaidi,hapa wa kulaumiwa ni serikali na wla sio hao police kwani kama serikali ikihitaji watu hawa kufanya kazi zao kikamilifu watazifanya.Serkali lazima ifanye investment kubwa sana katika jeshi la usalama wa raia (police)kama walivyoinvest katika jeshi,kama kuna kijinchi kitakachojaribu kutuletea tabu basi9 hapo ndipo mtajionea jinsi gani imewekeza ndani ya jeshi letu,na vivyo hivyo inaweza ikafanyika kwa jeshi la police.Vibaka wote watakapoyeyukia hatutojua.

peace!!!

Hahahaha...
 
msaki hawezi kuniajiri.mimi ninajilipa interms of dollar.ni nani anae weza kuniajiri.nimeji ajiri na sidhani katika maisha yangu naweza kuja omba ajira.msaki huwa ananitafuta ili niweze kumshaur na angalau akue kidogo kiuchumi
Yaaani wewe na uandishi wako huo wa kila neno nukta na hata hujui wapi poa kuweka capital letters ndio mtu akufuate kwa ushauri?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom