mtokeibwima
Member
- Aug 2, 2014
- 72
- 36
Na bwawa liko mkondo huohuo
Hivi hizi taarifa hadi mchokozwe ndiyo mnazitoa hadharani? Na siyo issue ya leo tu, kila wakati umeme hauko stable. Kukatika katika imekuwa jadi. Rekebisheni hilo tatizo.Kibiti, Rufiji hawajawahi kuwa na uhakika wa umeme. Naanza kuamini hoja moja ilitolewa humu jf kuwa inawezekana nchi yetu ni chanel ya vichekesho huko kwa Sir GOD.TAARIFA KWA WATEJA
Tunasikitika kuwataarifu wateja wetu kwamba tumepata changamoto ya kudondoka kwa nguzo nane eneo la mbande chamazi hivyo kusababisha laini ya Somanga kukosa huduma ya umeme kwa baadhi ya maeneo.
MAENEO YANAYOKOSA HUDUMA YA UMEME
Baadhi ya maeneo ya wilaya ya mkuranga
Wilaya ya Kibiti yote
Wilaya ya Rufiji yote
JITIHADA ZINAZOENDELEA
Wataalamu wetu wapo site kuweza kutatua changamoto hiyo, wanasimamisha nguzo eneo la chamazi.
MUDA WA KURUDI
Kutokana na ukubwa wa kazi tunategemea huduma ya umeme itarejea saa 7 usiku
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza
Imetolewa na Ofisi ya
Uhusiano na Huduma kwa Wateja
**TANESCO PWANI
28/04/2024**View attachment 2976242
Wale magaidi yaliyoshughulikiwa na JPM bado yapo? Uenda wanaogopa wakiwapa umeme mfululizo mtakuwa mnatengeneza mabomu ya kujilipua! Hebu tulieni kwanza!Yaani TANESCO KIBITI mnatia aibu sana. Kila siku umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja au mawili. Hii haijalishi ni usiku au mchana. Yaani ni mwendo wa washa zima. Mjitafakari sana.
Na msivyo na aibu mnasema eti ni miundombinu wakati tangu umeme umeingia wilaya ile haijafika miaka 10. Ni uchakavu gani huo wa kiboya boya.
Mjitafakari kwenye utoaji huduma wenu hapa Kibiti. Shame on you
Wewe ndio hufuatilii, taarifa ipo mapema sana. Upo wilaya gani nikuunge group la wilaya yako uwe unapata updates on time.Hivi hizi taarifa hadi mchokozwe ndiyo mnazitoa hadharani? Na siyo issue ya leo tu, kila wakati umeme hauko stable. Kukatika katika imekuwa jadi. Rekebisheni hilo tatizo.Kibiti, Rufiji hawajawahi kuwa na uhakika wa umeme. Naanza kuamini hoja moja ilitolewa humu jf kuwa inawezekana nchi yetu ni chanel ya vichekesho huko kwa Sir GOD.
Unazungumzia taarifa zipi sasa? Maana hii ya kukatika leo mmesema ilitoka mapema, na kwa kuwa sipo kwenye group la wilaya. Je na wale ambao hawapo kwenye group la wilaya mnawafikiaje maana nao ni wateja wenu na wana haki ya kujua sababu ya katizo la umeme. Hoja ya pili ambayo niliuliza kuhusu kukatika katika kwa umeme kila mara nalo lina maelezo gani? Maana hauwezi kaa na umeme zaidi ya masaa mawili au moja. Yaani ni full kukatika katika. Nime experience hilo jambo zaidi ya miezi mitatu. Wateja wenu tunapaswa kupewa taarifa. Njia za kuwafikia wateja wenu kwa ulimwengu wa sasa siyo lazima magroup ya wilaya.Wewe ndio hufuatilii, taarifa ipo mapema sana. Upo wilaya gani nikuunge group la wilaya yako uwe unapata updates on time.
Bro una msongo wa mawazo. Naona badala ya kujadili hoja una personal attacks.Unazungumzia taarifa zipi sasa? Maana hii ya kukatika leo mmesema ilitoka mapema, na kwa kuwa sipo kwenye group la wilaya. Je na wale ambao hawapo kwenye group la wilaya mnawafikiaje maana nao ni wateja wenu na wana haki ya kujua sababu ya katizo la umeme. Hoja ya pili ambayo niliuliza kuhusu kukatika katika kwa umeme kila mara nalo lina maelezo gani? Maana hauwezi kaa na umeme zaidi ya masaa mawili au moja. Yaani ni full kukatika katika. Nime experience hilo jambo zaidi ya miezi mitatu. Wateja wenu tunapaswa kupewa taarifa. Njia za kuwafikia wateja wenu kwa ulimwengu wa sasa siyo lazima magroup ya wilaya.
Asante kwa kujitahidi kueleza. Kwakuwa issue ya umeme ni kero kubwa kwetu wateja. Sina haja ya kuku attack personal. Inaweza kuwa una vyanzo vingi but kukatika kwa umeme ni kero. Sina msongo as you think. Tatizo kubwa ni hii kero kubwa pande hizi za Kibiti.Bro una msongo wa mawazo. Naona badala ya kujadili hoja una personal attacks.
Kwanza chukua hii, mimi si mfanyakazi wa Tanesco. Haya, tuendelee.
Hiyo taarifa imetoka mapema, njia za utoaji taarifa zinafahamika. Huzijui? Basi atleast tembelea page za Tanesco.
Pili, group hilo ninalozungumzia ni la Tanesco wenyewe la kutoa updates kwa wadau, atleast unakuwa ahead of other sources na likitokea jambo halitakuja kwako kama surprise na ungepata majibu kwa nini unakatika katika.
Nafikiri umenielewa.
TAARIFA YA KATIZO LA UMEME KWA DHARURAAsante kwa kujitahidi kueleza. Kwakuwa issue ya umeme ni kero kubwa kwetu wateja. Sina haja ya kuku attack personal. Inaweza kuwa una vyanzo vingi but kukatika kwa umeme ni kero. Sina msongo as you think. Tatizo kubwa ni hii kero kubwa pande hizi za Kibiti.