Umeongea ukanisisimua mkuuJapo si vyema kubeza hasa katika kipindi hiki kigumu, ila kuna ka udhaifu flani ndani ya Jeshi letu tukufu la police.
Kwa ulayman wangu wa mambo ya kiintelijensia, nafikiria mbinu ambazo zinaweza kutumika. Haya maharamia hayaishi porini. Yapo mulemule yamejimix na watu. Fanya ambush. Funga barabara za kuingia na kutoka kwa masaa kadhaa. Anza msako wa nyumba kwa nyumba. Rusha aircraft juu iangaze kiurahisi. Tanguliza mashushushu wafanye some kind of ground work. Etc. Etc.
Haya mengine sijui ya kutaka kumtuma CDF akaongee na wazee ni mbwembwe tu na kutafuta huruma kwa wasiohusika.
Huo mkakati wako ni wa hovyo utashindwa tu hata kabla ya kuanza. Badala take mambo ndio kwanza yataescalate na kuenea nchi nzima Hakuna mahali duniani kote ving'ora, magari ya deraya, helikopta mizinga,vifaru na bunduki vimefanikiwa kuweka amani ya kudumu kwenye mioyo ya raiaJapo si vyema kubeza hasa katika kipindi hiki kigumu, ila kuna ka udhaifu flani ndani ya Jeshi letu tukufu la police.
Kwa ulayman wangu wa mambo ya kiintelijensia, nafikiria mbinu ambazo zinaweza kutumika. Haya maharamia hayaishi porini. Yapo mulemule yamejimix na watu. Fanya ambush. Funga barabara za kuingia na kutoka kwa masaa kadhaa. Anza msako wa nyumba kwa nyumba. Rusha aircraft juu iangaze kiurahisi. Tanguliza mashushushu wafanye some kind of ground work. Etc. Etc.
Haya mengine sijui ya kutaka kumtuma CDF akaongee na wazee ni mbwembwe tu na kutafuta huruma kwa wasiohusika.
Hub ni mjadala wa wazi bro. Acha HasiraKwani Wewe ndio niliye mquote hapo juu?Niliye mquote anaitwa consultant na wewe unaitwa 666 chata,ni vp ukajibu wewe?
Multiple id's kazini,endelea kujijibu.
Yeah sometimes iko haja ya kuonja ladha ya Darfur Allepo na Mosul maana hatujui tuendako na bwana dereva!Mimi ntaenda, maana naamini hakuna eneo Tanzania hii et lipo kama Dafur au Tikrit au Benghaz
haya mambo yanayotokea leo kibiti ni kwa vile tu watu flan bado hawajalichukulia ili kama tatizo serius, wanazani ni upepo tu utapita.
Aisee acha kabisa huko Allepo ni balaaYeah sometimes iko haja ya kuonja ladha ya Darfur Allepo na Mosul maana hatujui tuendako na bwana dereva!
Nimesema mimi ni layman tu kwenye mambo hayo. Ningependa kusikia analysis yako wewe mtaalamu.Kwa ulichokiandika hapa,kweli siwezi kuruhusu unifanyie consultation hata kwa dawa..
una kaupungufu fulani mkuu si bure!Sasa viwanja vimeshuka bei ya kutupwa yaani ukiwa na laki tano tu unapata bonge la kiwanja na tena unaweza kujipimia mwenyewe uanzie wapi mpaka wapi kwa laki tano.
Maji yanapatikana vizuri tu yaani 24/7, vile vile kuna mashule ya kufa mtu yaan mengi sanaa ni wewe na ada za wanao tu.
Umeme haukatiki sanaa, na ikifika usiku watu wametulia ndani freshi kabisaa yaani unaanika nguo vizuri af kesho yake unazikuta tu zimelala nje safi.
Asikwambie mtu kitu kibiti raha sanaa waungwana.
ungekuwa ni mwana mtoka huko au unaishi huko ungeeleweka.wapi kuna mzaha umefanyika? unapajua kibiti? acha mambo yenu ya kuuchafua mji wetu maana naona sasa mnaambizana Tanzania nzima kama huu mji ni jehenamu, acheni mambo yenu kabisa.
You are not serious are you happy with what's happening there?Sasa viwanja vimeshuka bei ya kutupwa yaani ukiwa na laki tano tu unapata bonge la kiwanja na tena unaweza kujipimia mwenyewe uanzie wapi mpaka wapi kwa laki tano.
Maji yanapatikana vizuri tu yaani 24/7, vile vile kuna mashule ya kufa mtu yaan mengi sanaa ni wewe na ada za wanao tu.
Umeme haukatiki sanaa, na ikifika usiku watu wametulia ndani freshi kabisaa yaani unaanika nguo vizuri af kesho yake unazikuta tu zimelala nje safi.
Asikwambie mtu kitu kibiti raha sanaa waungwana.
Umesema majambazi yamejichanganya na jamii halafu unasema ifanyike ambush!
Umerahisisha saaaana mkuu... ungekuwa mtendaji wa iyo mission ungeona ugumu wake.... usipende amank wakati wa vita utakifa mapema ...Japo si vyema kubeza hasa katika kipindi hiki kigumu, ila kuna ka udhaifu flani ndani ya Jeshi letu tukufu la police.
Kwa ulayman wangu wa mambo ya kiintelijensia, nafikiria mbinu ambazo zinaweza kutumika. Haya maharamia hayaishi porini. Yapo mulemule yamejimix na watu. Fanya ambush. Funga barabara za kuingia na kutoka kwa masaa kadhaa. Anza msako wa nyumba kwa nyumba. Rusha aircraft juu iangaze kiurahisi. Tanguliza mashushushu wafanye some kind of ground work. Etc. Etc.
Haya mengine sijui ya kutaka kumtuma CDF akaongee na wazee ni mbwembwe tu na kutafuta huruma kwa wasiohusika.
Maoni yako hayaeleweki.Hawafanyagi ambush bila kuwa na pre-information za adui alipo. Ndo maana ya kufanya reconnaissance na kujua potential locations/nyumba ambazo maadui wameweka kambi. Kama wanaishi na raia na ikafanyika kazi nzuri ya uchunguzi (ile intelijensia yetu), chances za kuwapata ni kubwa. Unless wawe wanaishi porini na wanaingia vijiijini usiku tu kufanya mambo yao.