Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

kesho utamsikia sirro anawatafuta wanamtandao wote wanaofurahia kuuawa kwa askari badala ya kuyasaka haya Majambazi.Nasikia huko kibiti watendaji wa serikali kata ,vijiji na wenyeviti wa vijiji wote wamakimbia, kifupi hakuna serikali huko
Wafeeeee wote tujue hatuna ulinzi! Wameteka clouds, nape kanyooshewa bastola saanane kapotezwa na hao polisi Roma nae katekwa kateswa bado unawahitaji polisi? Wa kazi gani kwa mfano bora nife tu nijue nimeuawa na jambazi au gaidi ila sio kwa upuuzi huu unaoendelea sasa ivi am fed up![/QUOTE
 
Katika jambo ambalo huwezi kumsikia Magufuli akiliongelea ni usalama wa nchi, raia na mali zao...hakika mimi sijawahi kumsikia - akisikika kuongelea jambo lolote lihusulo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama basi ni kuwapa AMRI wawakamate akina Lissu, viwachukue raia mateka na viue washukiwa wa uhalifu at sight...basi huko Mkuranga wameamua kujihami nadhani...a pure state of lawlessness!
 
Hilo eneo linatatizo kubwa , jamani inabidi kuiangalia mkuranga kwa jicho LA tatu, watu hawathamini wenzao , Mwenyezi Mungu tuangazie.


Habari zilizotufikia hivi punde, zimeeleza kuwa, askari polisi watatu wameuawa na majambazi huko Mkuranga, Mkoani Pwani.

Habari hizo zinasema kuwa, askari hao wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi hao wakati wakijiandaa kuondoka kwenye lindo ambalo lilikuwa ni kizuizi cha barabarani ili warudi kituoni.

Imeelezwa kwamba majambazi hao waliwavamia ghafla polisi hao waliokuwa kwenye gari na kuwapiga risasi na kuwaua wote palepale eneo la tukio, kisha kutokomea kusikojulikana.

Global Publishers Twitter Page
:::::::::::::::::::::::::::::::::>>>>>
Mkuranga,Vikindu na Kibiti usalama wake haupo sawa.
Pole kwa wafiwa
 
Yaani polisi ni kama yatima vile hawana pa kushika yaani Government inawatumia kwa maslai yao na kuwadump baadae "condom life" baada ya matumizi unatupa mbali tena chooni na hutaki hata kuiona, Raia nao wanawaona polisi kama snitch, wasaliti, makatili na wanaostahili kutengwa na kuchukiwa na jamii. They have no one to cling to...yaani hawana hata pa kushika...ohooo! Poor police.

Bila kujali kwamba polisi wanafanya noble job ya kurisk maisha yao hata kufa kwa mshahara mdogo ili RAIA na Mali zao wawe salama ingawaje wanaweza wasifanye kazi zao kwa ubora mkubwa ila kwa uwezo wao wanajitahidi at their best.

Na ndio maana huwa naamini hawa jamaa huwa ni champion wa kuhandle stress and depression. Kwanza hali ya kuwa vitani daily unawinda na kuwindwa na MTU usie muona ni stressful tosha.

RIP mapolisi.
 
Habari zilizotufikia hivi punde, zimeeleza kuwa, askari polisi watatu wameuawa na majambazi huko Mkuranga, Mkoani Pwani.

Habari hizo zinasema kuwa, askari hao wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi hao wakati wakijiandaa kuondoka kwenye lindo ambalo lilikuwa ni kizuizi cha barabarani ili warudi kituoni.

Imeelezwa kwamba majambazi hao waliwavamia ghafla polisi hao waliokuwa kwenye gari na kuwapiga risasi na kuwaua wote palepale eneo la tukio, kisha kutokomea kusikojulikana.

Global Publishers Twitter Page
:::::::::::::::::::::::::::::::::>>>>>
Mkuranga,Vikindu na Kibiti usalama wake haupo sawa.
Pole kwa wafiwa
.
Hayo maeneo sio salama kusafiri usiku kabisa.
 
Hii ni habari ya kusikitisha sana na ni matumaini yangu hata huko Bungeni watatumia mjadala kuzungumzia hili. Huko Mkuranga hii si habari ya kwanza kuhusiana na mauaji ya polisi kama ninavyokumbuka. Nini kinaendelea? Hawa ni mashujaa na Taifa linahitaji kuwaenzi ipasavyo pamoja na familia zao. Lakini pia ni muhimu sana kwa viongozi wa jeshi kuangalia ni namna gani baadhi ya mambo kama haya yanaweza kufanywa kwani kama kumbukumbu yangu inanijia vizuri aina hii imewahi kutokea tena huko nyuma ambapo wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliwategea polisi wakiwa wanabadilishana lindo
 
Back
Top Bottom