RaiaMbishi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 252
- 125
Mwaka 2009, Kibanda wakati ule akiwa mhariri mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima alianzisha mfululizo wa makala zenye kichwa kisemacho - Tuendako: Sio Ufisadi, Ni Urais 2015. Katika makala hizo, Kibanda alishambulia sana mtandao uliomwingiza Kikwete madarakani. Makala hizi zilileta mtikisiko mkubwa sana kwa walengwa hali ambayo iliweka maisha ya Kibanda hatarini lakini kilichokuwa kinamlinda Kibanda ni uwepo wake kwenye gazeti linalomilikiwa na mmoja wa viongozi wa Chadema (Freeman Mbowe, suala ambalo lilifanya iwe vigumu kwa mtu yoyote wa CCM kumdhuru Kibanda bila ya kuchafua hali ya hewa ambatyo ingepelekea CCM kudhoofika na Chadema kuzidi kupanda chati.
Ni makala hizi ndio zimemletea matatizo, na nina uhakika kwamba kwa vile vile mwenyezi mungu amemuokoa na umauti, siku atakapopata nafuu na kuamua kufunguka, atakuja kuthibitisha uhusiano wa makala zake hizi na janga lililompata. Ni muhimu kwa vyombo vya usalama kuunganisha makala hizi na ujasusi aliofanyiwa Kibanda, la sivyo itakuwa ni michezo ya kuigiza. Zifuatazo ni mfululizo wa makala husika - msomaji, kuwa makini zaidi na sehemu zilizopigwa rangi nyekundu.
-------------------------------------------------------------------------------------
Makala ya Kwanza
Ni makala hizi ndio zimemletea matatizo, na nina uhakika kwamba kwa vile vile mwenyezi mungu amemuokoa na umauti, siku atakapopata nafuu na kuamua kufunguka, atakuja kuthibitisha uhusiano wa makala zake hizi na janga lililompata. Ni muhimu kwa vyombo vya usalama kuunganisha makala hizi na ujasusi aliofanyiwa Kibanda, la sivyo itakuwa ni michezo ya kuigiza. Zifuatazo ni mfululizo wa makala husika - msomaji, kuwa makini zaidi na sehemu zilizopigwa rangi nyekundu.
-------------------------------------------------------------------------------------
Makala ya Kwanza
| ||||
|