Kibanda cha biashara kinauzwa

Kibanda cha biashara kinauzwa

kings09

Member
Joined
Jan 5, 2010
Posts
47
Reaction score
3
Habari wana GF,

Kwa wale waliopo Arusha. Nina uza kibanda cha biashara kipo Arusha pia.

Specification

1. 2M x 2M x 2.5M, kwa maana ya upana, urefu, na kimo

2. Material: bati gumu gauge 18

3. Kina hamishika

4. Bei Tshs 550,000 hata maelewano yapo kwa anaye kihitaji

Anaye kihitaji anaweza kuni pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom