muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Duuu mshamchanganya binti mchawi, msaidieni jamani..
hivi mod amjui tunafariji ndoa za watu jamanii
Umenikumbusha Shemeji LA Sweden limepata wake mahabuba,,nami Mungu kanipa mwajuma wanguu mahabubaaP Didy umepata mpenzi wa kuendana naye huku.
umechelewa wapi mwajuma alikaribia kiwango changu kama sio mod kumpunguza nguvu kidogoblaza nimechelewqqq kumbeee????
Mods wamenikosesha utamu hqpq. Daaqq
umechelewa wapi mwajuma alikaribia kiwango changu kama sio mod kumpunguza nguvu kidogo
P Didy umepata mpenzi wa kuendana naye huku.
Moderator tunakuomba rudisha maneno kama yalivyokuwa awali, this thread has made us all laugh.
Mwajuma Mchawi, keep it up, you made my day.
Pdidy haoni ndani kwa MM.
ukitaka kujuwa jinzi ya kupatwa kibali cha kuhuwa wanyama pori wa porini mwambie kaka haje makaho makuhu ya mali hasili ya hasili hili haruhusiwe kuwinda mwevzi hunaojao.nawawas.
Chinga One mbavu zangu plz plz ha ha ha JF sijacheka siku nyingi ila leo nimechekaje??
Ha ha ha ..........
Ha haa Kwa jinsi ulivyo cheka na mimi nimejikuta nacheka tu.
Mh!! Inawezekana huu ni uchawi ulioandika hapa!! Na ushindwe
Jamani hivi serikali inaposema imeboresha elimu ina maana gani? Nadhani iko haja madarasa ya watu wazima ya kaya yarudi tena yaani MEMKWA. Tokea thread ya 1 mtu huyu kuandika ni shida. CCM bado sana kujisifia ubora wa elimu. Apologise lady msaidieni mwanamke mwenzenu huyu MCHAWI.
Vibali vinatolewa kati ya Julai na Disemba kila mwaka. Nenda wizarani utapewa maelekezo mazuri juu ya hilo