Wakuu kuna baadhi ya videos ambazo zinaelezea uwezekano wa mwanasiasa wa Kenye anayeweza kumrithi Kibaki kwenye uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka huu.Chini ni videos ambazo zinawaelezea wanasiasa ambao wanaweza kupata baraka za kugombea urais kutegemea na watakavyozipanga karata zao.Ni wazi kabisa kuwa hakuna atakayeweza kushinda kwa kutegemea kabila lake pekee.Na katiba mpya ya Kenya inamtaka rais apate kura zaidi ya asilimia 50,na pia ashinde kwenye atleast z4 counties.