MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 923
- 1,101
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.