Kibajaji amlipua Dkt. Bashiru anakerwa na nini?

Kibajaji amlipua Dkt. Bashiru anakerwa na nini?

Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
For every action, there is an equal and opposite reaction

Newton's third law of motio-polical in Tanzania
 
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Ndio kumekucha sasa...yajayo yafurahisha
 
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Mimi ni Tomaso, siamini haya ni maneno ya mbunge wa CCM, mpaka nione clip na kuyasikia kwa masikio yangu mwenyewe!.
P
 
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Kwa hiyo unasimamia sera za raisi hata kama unaona zinawaumiza watu au hazileti matokeo?
Hio ndio TZ
 
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Sema kimeumana
 
Back
Top Bottom