Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Elimu wanayo ila polisi ndio hawaaminikiWatu wapewe Elimu kuhusu kuchukuwa Sheria mikononi mwao
Elimu wanayo ila polisi ndio hawaaminikiWatu wapewe Elimu kuhusu kuchukuwa Sheria mikononi mwao
Umesha wahi kuona haya mabasi yanavyoendeshwa?Hakuna watu wajinga kama hawa kwani ajali dereva kaitaka? Kwanini mumshambulie kwa mawe na polisi wapo?, watanzania tuna matatizo ya akili.
Lunatic
OopsBoda wamexoea kutosha watu wa IST wanadhani na mabasi yatawakwepa
Umesha wahi kuona haya mabasi yanavyoendeshwa?
Ukitaka kujua ushenzi wa madereva wa mabasi endesha pkpk ktk High way usipojihami kwa kuendeshea nje ya chaki wanakudedisha dakika sifuri