Sawa yupo sawa lakini wewe unaleta dalilifulani ya majungu! mpongeze kwa chema chake wapo wengine pia wamefanya yao mema kwa jamii hata kushinda hilo, kikubwa ni kuwakumbusha kuwa wao nikama wengine, yeye kafanya hilo wengine wafanye jingine na sikwalengo la kusengenya au fimbo kwa mtufulani, PONGEZI SANA KIBA