Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,127
Zamani nikiwa mwinjilisti mdogo niliyejaa moto nilisema kuwa matatizo makuu yanayowakabili wanadamu wa kizazi cha leo ni matatu; Dhambi, umaskini na magonjwa.
Sasa hivi nimegundua kuwa ile arrangement yangu haikuwa sahihi na kwamba natakiwa niyapange hivi ;
1.Umaskini
2.Magonjwa na
3.Dhambi.
Umaskini ndio baba mzazi wa magonjwa na Dhambi.
Leo wakati nakwenda nyumbani nikitokea Pugu kwenye mishe za kusimamia ujenzi wa nyumba yangu nimehangaika sana juu ya usafiri. Nimeona watu wanavyopigana kisa daladala.
Nikajisemea moyoni kuwa adui nambari moja sasa ni umaskini na kuanzia hii leo afe kipa afe beki umaskini lazima niukimbie.
Nitafanya juu chini umaskini unikimbie. Daladala nipande kwa emergency tu, chakula nile kile ninachokipenda tu na si maadamu tu kipo mbele yangu.
Note : Ninaposema nitafanya lolote sijajumuisha matendo ya kihayawani kama ushoga, ujambazi n.k.
Sasa hivi nimegundua kuwa ile arrangement yangu haikuwa sahihi na kwamba natakiwa niyapange hivi ;
1.Umaskini
2.Magonjwa na
3.Dhambi.
Umaskini ndio baba mzazi wa magonjwa na Dhambi.
Leo wakati nakwenda nyumbani nikitokea Pugu kwenye mishe za kusimamia ujenzi wa nyumba yangu nimehangaika sana juu ya usafiri. Nimeona watu wanavyopigana kisa daladala.
Nikajisemea moyoni kuwa adui nambari moja sasa ni umaskini na kuanzia hii leo afe kipa afe beki umaskini lazima niukimbie.
Nitafanya juu chini umaskini unikimbie. Daladala nipande kwa emergency tu, chakula nile kile ninachokipenda tu na si maadamu tu kipo mbele yangu.
Note : Ninaposema nitafanya lolote sijajumuisha matendo ya kihayawani kama ushoga, ujambazi n.k.