Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,798
- 4,922
Hii iliyomrudisha fisadi aliyeiba mamilion ya pesa kwa dk kadhaa??.Ccm ile sio hii mkuu
Hii iliyomrudisha fisadi aliyeiba mamilion ya pesa kwa dk kadhaa??.Ccm ile sio hii mkuu
Huyo ndiyo sitaki hata kumsikia, roho mbaya aloyokuwa nayo ilitosha kuonesha hakufaa kuwa hata balozi.ccm ni nzuri akipatikana rais kama jpm utaona raha sana. fikiri jpm angemaliza miaka 10 mambo mengi mazuri tungeyapata. hakuna chama kingine kinaweza kutawala tanzania kuliko ccm. hao wengine ni vyama vya mitandaoni na matusi kama yote ukiwapa mkoa tu kuutawala mkoa mzima wanakufa na njaa na hakuna huduma watakayopata sembuse uwape watawale tanzania nzima
Wezi wangapi wamefikishwa mahakamani ndani ya mwaka mmja wa mama?Mtu yeyote anaeweza vita ya ubadhirufu serikalini anastahili kuwekewa kinga ya kuongoza kwa muda mrefu, ikibidi lifetime..
Mama Samia is just talk, she hasn’t the guts for the battle.
Yaani amiri jeshi mkuu, mwenyekiti wa CCM na raisi wa nchi; kwa katiba yetu angeweza fanya mabadiliko yoyote ya msingi anayotaka bila ya kubembelezana na mtu kama angekuwa mwenye vision bila ya kutegemea kuelekezwa na wastaafu.
Hiyo vita ya ubadhirifu kwa viongozi wa serikali mpaka sasa mama keshaonyesha sio size yake.
Na ikitekelezwa inakuwa kwa wale ambao ni mahasimu wa kisiasa...Nchi inatabu hiiIt sounds like a huge vibe!!
Yet .......!!
Hongereni mkilitekeleza
Mahasimu kivipi, watendaji wanahusikaje na uhasama wa kisiasa?Na ikitekelezwa inakuwa kwa wale ambao ni mahasimu wa kisiasa...Nchi inatabu hii
Hiyo roho mbaya ndiyo uadilifu wenyewe, maana hao ambao wanaona alikuwa na roho mbaya wao hawazioni zao ambazo kwakufanya ufisadi kupitia kinga za kisheria waliua raia wangapi kwa utapia mlo, mntindio wa ubongo, kukosa pesa za dawa ya lamaria, minyoo, kuharisha na mbaya zaidi kukoseshwa hata haki ya elimu ya msingiHuyo ndiyo sitaki hata kumsikia, roho mbaya aloyokuwa nayo ilitosha kuonesha hakufaa kuwa hata balozi.
Tuliza akili yako kwanza ikiwa sober utagundua tabia kama hizo zako ndizo ambazo zinatukwamisha kila leo...Punguza mahaba ongeza utambuzi wa mambo bila mahabaMahasimu kivipi, watendaji wanahusikaje na uhasama wa kisiasa?
Mungu alituepusha na kikombe Cha uovu. Rip Ben sa8, Aqwilina na mama Kabendera.Hiyo roho mbaya ndiyo uadilifu wenyewe, maana hao ambao wanaona alikuwa na roho mbaya wao hawazioni zao ambazo kwakufanya ufisadi kupitia kinga za kisheria waliua raia wangapi kwa utapia mlo, mntindio wa ubongo, kukosa pesa za dawa ya lamaria, minyoo, kuharisha na mbaya zaidi kukoseshwa hata haki ya elimu ya msingi
Kwani mtu akikamatwa kabisa anatakiwa kushushwa cheo na mshahara au kupelekwa mahakamani?Kwenye hili, Serikali ipo sahihi. Kwa ujumla sheria hiyo imechelewa.
wenzenu wapo kwenye era ya kunyonga nyie mpo kwenye kuwapunguzia mishahara, Khaaa!!!!watashushwa na mishahara yao tofauti na awali ambapo watendaji walishushwa vyeo huku mishahara yao ikibakia palepale.