Hatimae spirit ya CDM commanders imeanza kuwaingia wanamagamba, kwa hakika mei mosi twaweza shuhudia serikali ikitoa kauli juu ya hawa watu wake kama ni kuwafukuza, kuwafunga ama kuwanyonga particularly i will be happy.
Wakati mwingine unaweza kufikiri yanayoendelea bungeni ni hadithi za bibi na babu lakini ukweli ni kuwa nchi imejaa ufisadi na ukweli ulio wazi ni kuwa raisi wetu ni mpole ! Nadhani tuwe kama china wanyongwe tu.
Yap! wachache wameshasoma alama za nyakati. haki ya nani, wasipo waadhibu baadhi ya mawaziri na watendaji serekali. wanachi tuukatae hii serekali kwa kuwaonyesha ktk uchaguzi. Hii ni dharau atuwezi kuivumilia
Hatimae spirit ya CDM commanders imeanza kuwaingia wanamagamba, kwa hakika mei mosi twaweza shuhudia serikali ikitoa kauli juu ya hawa watu wake kama ni kuwafukuza, kuwafunga ama kuwanyonga particularly i will be happy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.