JF, nimetafakari kwa makini huu mwenendo mpya wa viongozi wa vyama kuamua kuwafukuza baadhi ya wanachama, kwa maono yangu mwenendo huu ukiachwa uendelee hakika usalama wa taifa utaenda mrama. Najiuliza, hivi kweli hawa wanaofukuzwa ni wakosefu kwa kiasi hicho? Hivi hawa wanaowafukuza wenzao hawaoni kama wanawaumiza watanzania pia kwa kuliongezea taifa mzingo wa kuchagua viongozi wengine-mf. Kuchagua mbunge, je inapofikia mahali hata mtu aliyepewa dhamana ya kugombea urais naye akavuliwa uanachama, je, wanaotekeleza haya hawaoni kama iko siku watamvua uanachama mtu ambaye sasa anatazamwa na taifa zima na si wanachama wa chama chake pekee?, hivi msajili wa vyama anasema nini kuhusu hili?, je, jamii haioni sasa kuwa kunahaja ya baadhi ya wanachama, mf, mnbunge, waziri au mgombea urais kuwa na kinga ya vurugu za ndani ya vyama?!, nawasilisha.
JF, nimetafakari kwa makini huu mwenendo mpya wa viongozi wa vyama kuamua kuwafukuza baadhi ya wanachama, kwa maono yangu mwenendo huu ukiachwa uendelee hakika usalama wa taifa utaenda mrama. Najiuliza, hivi kweli hawa wanaofukuzwa ni wakosefu kwa kiasi hicho? Hivi hawa wanaowafukuza wenzao hawaoni kama wanawaumiza watanzania pia kwa kuliongezea taifa mzingo wa kuchagua viongozi wengine-mf. Kuchagua mbunge, je inapofikia mahali hata mtu aliyepewa dhamana ya kugombea urais naye akavuliwa uanachama, je, wanaotekeleza haya hawaoni kama iko siku watamvua uanachama mtu ambaye sasa anatazamwa na taifa zima na si wanachama wa chama chake pekee?, hivi msajili wa vyama anasema nini kuhusu hili?, je, jamii haioni sasa kuwa kunahaja ya baadhi ya wanachama, mf, mnbunge, waziri au mgombea urais kuwa na kinga ya vurugu za ndani ya vyama?!, nawasilisha.
JF, nimetafakari kwa makini huu mwenendo mpya wa viongozi wa vyama kuamua kuwafukuza baadhi ya wanachama, kwa maono yangu mwenendo huu ukiachwa uendelee hakika usalama wa taifa utaenda mrama. Najiuliza, hivi kweli hawa wanaofukuzwa ni wakosefu kwa kiasi hicho? Hivi hawa wanaowafukuza wenzao hawaoni kama wanawaumiza watanzania pia kwa kuliongezea taifa mzingo wa kuchagua viongozi wengine-mf. Kuchagua mbunge, je inapofikia mahali hata mtu aliyepewa dhamana ya kugombea urais naye akavuliwa uanachama, je, wanaotekeleza haya hawaoni kama iko siku watamvua uanachama mtu ambaye sasa anatazamwa na taifa zima na si wanachama wa chama chake pekee?, hivi msajili wa vyama anasema nini kuhusu hili?, je, jamii haioni sasa kuwa kunahaja ya baadhi ya wanachama, mf, mnbunge, waziri au mgombea urais kuwa na kinga ya vurugu za ndani ya vyama?!, nawasilisha.
Chama ni lazima kiwe na mfumo wake ambao wanachama ni lazima waufuate.
Suluhisho ni kuwa na mgombea binafsi katika nafasi zote za kugombea.
Kuna mijitu humu ndani.......inapiga vita suala la mgombea binfasi......halafu yenyewe inajifanya kulaumu uamuzi wa NCCR.....damn!
hatupaswi kushabikia mfumo,sheria,katiba etc ya chama inayoonekana kutojali haki ya wapiga kura, kumbuka kuwa mbunge hachaguliwi na wanachama tu bali wananchi wote kwa kumuadhibu mbunge unakuwa umewaadhibu wapiga kura wote hata wale wasio wanachama. Kuna haja ya kuwa na kinga juu ya watu hawa ili kuepusha maamuzi yanayolenga kumkomoa mtu na yasiyo na tija.