njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Mambo ni mengi muda mchache ni vurugu mechi zahapa na pale, makanjanja yaliyoamua kujivika uchawa na kudhalilisha taaluma ambayo huwa inaaminika kwamba ni mhimili wa 4 yaani media, basi ni vurugu tupu kama chawa la Gsm linalo ji disguise kama chambuzi la clouds fm nalo likamsingizia mwanamke aisyejulikana jina kwamba ni mama wa Ki aziz
Uchawa ni laana walahi, mtu anayedhaniwa kwamba ni journalist basi post hata vitu vya ukweli basi mbona u ki google tu mama wa Ki aziz unampata, why una spread fake news ili uonekane Fabrizio Romano?
Uchawa ni laana walahi, mtu anayedhaniwa kwamba ni journalist basi post hata vitu vya ukweli basi mbona u ki google tu mama wa Ki aziz unampata, why una spread fake news ili uonekane Fabrizio Romano?