Mimi nilijua kawatimua kazi watu kumbe &#(?!@%&Mwenyekiti UVCCM Taifa, Ndg. Kheri D. James (MCC) akihutubia wakati akizindua Kampeni ya Uchaguzi Mdogo katika Kata ya Daraja Mbili mkoani Arusha.
#Tukutane_KaziniView attachment 815426
Mbeya na Arusha lazima chadema kifutike.
Chama Cha Demokrasia na Malalamiko tumeshawazoea.Kwasabab usawa haupo,
Hakuna tofauti kati ya
Ccm na polisi
Ccm na migambo
Ccm na mahakimu
Kwa utaratibu huo kushinda nilazima
Ili iwe nini?Mbeya na Arusha lazima chadema kifutike.
Duuuh!Chama Cha Demokrasia na Malalamiko tumeshawazoea.
Ili tubaki na TLP,ACT,UDP, upinzani bila chuki.Ili iwe nini?
Ni Mpwa wa wenye nchiNdio nani uyo?
Unatumia ufuto gani mkuu?Mbeya na Arusha lazima chadema kifutike.