Kheri James awasha moto Arusha

Kheri James awasha moto Arusha

Wakati Kheri James anawasha moto IGP alikuwa wapi? Nataka maelezo.
 
tenor.gif

Vituuz! Tunasonga mbele.
 
Halafu siku hizi watu tumeacha mambo ya uccm/u chadema.Siku hizi tunapambana hali zetu,siku za nyuma tunajitia kimbelembele kuimba mijimbo ya ccm mbele kwa mbele,tunakesha kuwashawishi vikongwe usiku wa manane wakaipigie kura ccm tunawakodishia pikipiki lakini mwisho wa siku tumepuuzwa tunalia njaa tu na wametuchanganya na upinzani twaisoma nao namba pamoja na wapinzani!
 
Tunapigana na maisha yetu halisi,tatizo tunatumia id feki ukute hapo ulipo umetokota kwa ugumu wa maisha lakini ndo hivyo tena huna ubongo una mavi kichwani
 
Back
Top Bottom