Khanga za uswazi

Khanga za uswazi

utakula pipii ikiwa kwenye karatasi utasikiaje utamu:llama::llama::llama:
 
Ukiwa na kuku wa kienyeji lakini

kweli kabisa mkuu--unamkuta mtoto wa uswazi kamwaga chachandu kiunoni hadi raha, hasa mnapokuwa kwa bed--kunakuwa na mhamasisho wa aina yake.
 
Ni sahihi kabisaaaa korosho kavu tamu sana! Acheni tafsiri zilizo nje ya ukweli... nyie hamuoni korosho zimechorwa hapo! loooh
Acha kushabikia hayo maandishi kiongozi wangu. Kwani kuna korosho majimaji na korosho kavu?Kiswahili cha uswazi kinajulikana, acha kutudanganya!
 
good.jpg
 
ni kweli, si anaongelea korosho hapo kwenye kanga zimechorwa!
 
mhh kuna maneno mengine unaweza hata ukatoa taraka bila kupenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom