hahahaaaa hv hapo kichwa kipi hapa kibongobongo kinaweza kuckucompit na hawa jamaa..?
Dah bongo bana wachanaji wakali wapo wengi. sisi labda lugha inaweza ikawa inafanya tusieleweke (ingawa sio kigezo kikubwa sana maana SARKODIE anaimbaga hadi kikwao lakini watu wanapenda anavyochana". kwa level hizi na kuchana kwa lugha ya kiingereza wapo wale wa TEMA YAI NATION ( kina wakazi, mex cortez, flesh like uuh, incredible), ila overral namuamini sana Fid. laiti jamaa wangekuwa wanaelewa anachokiandika wangempa heshima.