Kuna mjinga alinizidi akili humu ndani nilikuwa nina blog zangu 6 na nilikiww nataka ni nunue domain na host.
Akaja akaniambia kuwa yeye anaingizaa $100 au 70$ kwa siku.
Basi kwakuwa mimi ilikiwa ina soma dollar moja nikaona sio kesii. Nikaomba anipe maujanjaa akaniomba email ili aweze set hizoo blog niwe nakula mpugaa maana alizungu mzia kuhusu google kufungia sijuiii nini huko..
Nilivyo mpaa aisee niliona majivu. Nimeamkaa asubuhiii jamaa kafuta blog zote.
Na account ya AdSense kachukua na vidollar vyakee.




Sita sahauu ndo ukawa mwisho wa kuhangaikaa na blog.
Na blog mbili zilikiwa nime zi tengeneza inavyo takiwa keyword konki blaa..
Na moja ilikuwa ya real estate na moja ilikuwa ni duka la online kama amazon.
NA SIJUI KAMA KUNA MTU ANAPIGA PESA KAMA PESA KWELII BILA KUDANGANYA
Sent using mt4 app