atrash
Member
- May 1, 2011
- 75
- 12
habari zenu wakuu naomba msaada wenu nautumia laptop aina ya samsung i7 RF 511 window 7 nina tatitizo la keyboad yangu herufi tatu hazifanyi kazi nikajua labda ni driver za tauchpad nika weka lakini tatizo bado liko pale pale je nifanyeje naomba msaada wenu tafadhali