Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
1. Kuwasilisha malalamiko yake kutokana na mgomo wa Madaktari.
2. Kueleza masikitiko yake na kuvilaumu vyombo vya habari juu ya swala la Posho za wabunge zinavyoandikwa.
Hapa ataelezea namna posho za wabunge wa mabunge mengine zilivyo nono lakini wananchi hawalalamiki.
3. Kutoa pole kwa wahanga wa mafuriko Dar es Salaam na kuwaelekeza viongozi wa ccm mwanza kuandaa orodha
ya wananchi wote ambao walihathirika na mvua zilizonyeesha kwa muda mrefu mwishoni mwa mwaka jana ili na
wao wapatiwe misaada kama wale wa Dar.
4. kuelezea namna stimulus Package (3trilion) alizoapprove yeye kama mwenyekiti wa chama zilivyosaidia kilimo cha
pamba kisidhoofishwe na mtikisiko wa uchumi wa mwanza 2008
5. Kuagiza wanaccm wasiwe wanyonge sababu wao ndio wako madarakani.
6. Kuahidi Majimbo yote mawili ya Ilemela na Nyamagana kurudi CCM mwaka 2015.
7. Kuwaasa wanamwanza kujiepusha na ubaguzi kwa misingi ya imani za kidini na itikikadi za vyama.
8. Kuahidi ushindi wa kushindo kwa ccm kwenye uchaguzi mdogo uko Arumeru.
9. Kuelezea namna serikali yake inavyotekeleza ilani yake ya uchaguzi kikamilfu hasa katika uaandaaji wa katiba mpya
na kuwaasa wanaccm kushiriki kwa dhati bila uoga badala ya kuwaachia wana CDM (hapa ataitaja kwa umakini sana)
10. Kuwaasa wana mwanza kwamba maendeleo hayaji kwa maandamano.
11. Kuelezea namna mfumuko wa bei unavyoziathiri nchi nyingi zaidi duniani na tanzania tu.
12. Kuwaasa Madaktari wasimsikilize DR ulimboka sababu anatumiwa na wanasiasa (hapa ulimboka atashambuliwa vibaya sana)
13. n.k
2. Kueleza masikitiko yake na kuvilaumu vyombo vya habari juu ya swala la Posho za wabunge zinavyoandikwa.
Hapa ataelezea namna posho za wabunge wa mabunge mengine zilivyo nono lakini wananchi hawalalamiki.
3. Kutoa pole kwa wahanga wa mafuriko Dar es Salaam na kuwaelekeza viongozi wa ccm mwanza kuandaa orodha
ya wananchi wote ambao walihathirika na mvua zilizonyeesha kwa muda mrefu mwishoni mwa mwaka jana ili na
wao wapatiwe misaada kama wale wa Dar.
4. kuelezea namna stimulus Package (3trilion) alizoapprove yeye kama mwenyekiti wa chama zilivyosaidia kilimo cha
pamba kisidhoofishwe na mtikisiko wa uchumi wa mwanza 2008
5. Kuagiza wanaccm wasiwe wanyonge sababu wao ndio wako madarakani.
6. Kuahidi Majimbo yote mawili ya Ilemela na Nyamagana kurudi CCM mwaka 2015.
7. Kuwaasa wanamwanza kujiepusha na ubaguzi kwa misingi ya imani za kidini na itikikadi za vyama.
8. Kuahidi ushindi wa kushindo kwa ccm kwenye uchaguzi mdogo uko Arumeru.
9. Kuelezea namna serikali yake inavyotekeleza ilani yake ya uchaguzi kikamilfu hasa katika uaandaaji wa katiba mpya
na kuwaasa wanaccm kushiriki kwa dhati bila uoga badala ya kuwaachia wana CDM (hapa ataitaja kwa umakini sana)
10. Kuwaasa wana mwanza kwamba maendeleo hayaji kwa maandamano.
11. Kuelezea namna mfumuko wa bei unavyoziathiri nchi nyingi zaidi duniani na tanzania tu.
12. Kuwaasa Madaktari wasimsikilize DR ulimboka sababu anatumiwa na wanasiasa (hapa ulimboka atashambuliwa vibaya sana)
13. n.k