natamani niwashauri madogo waoe single mummy hawa ni wake wazuri zaidimimi nimeshavuka stage nawapigia debe wadogo zangu chukua ujumbe mengine yaache
Hahahahah!!Mwanamke ana uwezo wa kukufanya ukawa Millionaire, ila tu kama ulikua Billionaire.
natamani niwashauri madogo waoe single mummy hawa ni wake wazuri zaidi
- kwanza wengi ni waoga na wametoa mimba chache
- wakijengewa mazingira ya kupendwa na kuaminiwa ni waaminifu sana
- wanaadabu
- wanaona sadaka ya mwanaume kujitoa kwa kuwaoa wao
wakubali wapi? wakati wanaangalia tako utafikiri wanakazi nalo.Duh ,ngoja waje wahusika waone huu ushauri
mimi nimeshavuka stage nawapigia debe wadogo zangu chukua ujumbe mengine yaache
Mdogo wangu acha ujinga huo. Usiombe kumuoa single mother.natamani niwashauri madogo waoe single mummy hawa ni wake wazuri zaidi
- kwanza wengi ni waoga na wametoa mimba chache
- wakijengewa mazingira ya kupendwa na kuaminiwa ni waaminifu sana
- wanaadabu
- wanaona sadaka ya mwanaume kujitoa kwa kuwaoa wao
Ni kweli,ila vitu vingine unaweza fanya kama sadaka tuMdogo wangu acha ujinga huo. Usiombe kumuoa single mother.
Ni mateso matupu hakuna uafadhali hata.
Nilishawahi kuwa na single mother mwenye watoto watatu yaani ilikuwa taabu ada ya shule alitaka nilipe Mimi, hao watoto wakiumwa ni mimi ndiyo Nilikuwa nawahudumia hawana nguo za kuvaa anataka niwanunulie.
Mwisho wa siku hautajijenga hata siku moja utaishia kusomesha na kuwahudumia watoto wa mwanaume mwenzako. Siku watoto wakifanikiwa hakika utafukuzwa toka kwenye nyumba yako hata kama uliijenga wewe.
Duuh..mwanangu huyo alikuwa ni kizibo hasa halafu ni jobless.Mdogo wangu acha ujinga huo. Usiombe kumuoa single mother.
Ni mateso matupu hakuna uafadhali hata.
Nilishawahi kuwa na single mother mwenye watoto watatu yaani ilikuwa taabu ada ya shule alitaka nilipe Mimi, hao watoto wakiumwa ni mimi ndiyo Nilikuwa nawahudumia hawana nguo za kuvaa anataka niwanunulie.
Mwisho wa siku hautajijenga hata siku moja utaishia kusomesha na kuwahudumia watoto wa mwanaume mwenzako. Siku watoto wakifanikiwa hakika utafukuzwa toka kwenye nyumba yako hata kama uliijenga wewe.