Kevin De Bruyne ni albino?

Kevin De Bruyne ni albino?

Wazungu hawaweki wazi hali za ualbino
De Bruyne na Paul scole ni zeruzeru acha ubishi
Wanasemaga albino kiasili hawaoni vizuri kwenye mwanga wanaona vizuri gizani.

Sasa hao jamaa wanachezaje mpira?

Pia kiafrica africa uliwahi kuona albino anacheza mpira?
 
Mwamba anapiga mawe,kuna match moja alipiga muwa kipa akapangua ,ukamkuta alipiga muwa mwingine wa mara mbili yake mpaka yule kipa mwenyewe alibaki anacheka tu.
Kipa nae ana familia jamani
 
angekuwa albino mpira angeuonaje

Mana wezetu hulewa bila kunywa(hawaoni vitu kwa usahihi)
 
Back
Top Bottom