Huyu jamaa sio Albino, nimesoma na watu.wenye albinism toka primary hadi chuo, naweza kusema kitu cha kwanza kinachokufanya umjue albino mbali na ngozi ni macho yao.De Bruyne na Paul scole ni Albino
Sema wazungu zeruzeru Huwa hawasumbuki kama huku kwetu
Wazungu hawaweki wazi hali za ualbinoHuyu jamaa sio Albino, nimesoma na watu.wenye albinism toka primary hadi chuo, naweza kusema kitu cha kwanza kinachokufanya umjue albino mbali na ngozi ni macho yao.
Albino hata awe mzungu macho yao hayadanganyi lazima utamjua tu.
Utajifunza kuona wenzetu ni jinsi gani wanawawezesha albinos kufanya kazi ngumu kama football ili tuone na hapa kwetu tuwasaidie vipTuseme ndiyo ni albino.
Tuseme ndiyo si albino.
So what? 🚮🚮🚮
Albino wa kizungu ni ngumu kuliko mzungu wa kawaida ndo maana De Bruyne anaitwa mzungu chuma.Kumjua albino wa kizungu ni ngumu sana ika kevin de bruyne ni albino kabisa
Albino wengini footballwrs unawajua?
Wazungu wengi ni albino SEMA uiowataja ni albino sana.De Bruyne na Paul scole ni Albino
Sema wazungu zeruzeru Huwa hawasumbuki kama huku kwetu
Hata Paul Scholes naye ana ulemavu wa ngoziKumjua albino wa kizungu ni ngumu sana ika kevin de bruyne ni albino kabisa
Albino wengini footballwrs unawajua?