Bei rahisi Electronicks
Senior Member
- Nov 24, 2025
- 167
- 392
Baadhi ya kesi za kubaka Tanzania zinaweza kuwa za mchongo sana tuwe makini vijana ,ukiona kijana mwezako yamemkuta usifurahie mara nyingi tumezungukwa na watu wabaya sana mitaani .
Kabisa mkuuhasa mkoa wa Geita na manyara
Mitaani ni nyingi sanaToa mfano. Kuna vijana walifanya hayo matukio na walijirekodi kabisa. Na wenyewe walibambikiwa? Ukatili kwa wanawake/watoto wa kike na kiume, haukubaliki.