Kesi ya Uhalali wa Muungano kuhamia The Hague

Ile case ilio funguliwa na wazanzibari 40,000 kudai uhalali wa muungano (jamuhuri ya muungano wa tanganyika na Zanzibar) ambayo case hio ilikuwepo EAC Court tuna taarifa kusogea mbele kwa mbele.

Baada ya serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya waziri wa mambo ya nje kuiyandikia barua mahakama ya EAC kujitoa, imeipa uhalali na njia rahisi zaidi case hii ya madai ya wazanzibari kwenda kimataifa zaidi.

Sasa case hii kupelekwa international court of justice huko ulaya Netherlands .

Tunawaombea mafanikio mema wazanzibari wenzangu, naamini haki itapatika Insha Allah
Tanganyika inanukia!!
 
Unaendekeza uhuni wa wazungu wa mwaka 1884-1885?,wewe ni boya kweli
Sehemu kubwa ya pwani ya Tanganyika ilikuwa sehemu ya Zanzibar. Hivyo iwapo Zanzibar itajitenga na kuwa nchi kamili wana uwezo wa kufungua kesi kwenye mahakama za kimataifa ili mipaka ipitiwe upya. Usishangae Tanganyika iwapo hilo litatokea ikakosa kupakana na bahari na kugeuka kuwa landlocked country. Hiyo ndio sababu kubwa ya huu muungano kulindwa kwa nguvu zote. Siri hii huwa haisemwi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazanzibar wakifanikiwa tutawachangia Wachagga wadai nchi yao ya Kilimanjaro

View attachment 1305790
Dah! Hii yawachaga ikija,nitasaidia kuhamasisha wajiondoe maana huku kwenye mikoa yetu kweli hatuwahitaji. Wao wabaki peke yao tu ili Wapande magari ya wachaga wenzao,hoteli zawenzao,shule za wenzao, wanywe maji ya wenzao.Ingawa sijui kama huo mseto wa matabaka utawasaza!
 
Naribu kukuonyesha kwamba kwa ufinyu wa ardhi yao na idadi yao inawezekana wazanzibar hawana shida Ila Kuna kundi la watu lenye linatafuta maslahi ya kiutawala. Personally sina cha kupoteza hata wakijitoa.
Sawa mkuu ila kumekuwa na dhana ya kuchukulia udogo wa znz kuwa ndio sababu pia ya kuendelea kubaki ktk Muungano usio na maslahi yoyote kwa Zanzibar. Zanzibar eneo lipo la kutosha na sehem nyingi zimejengw kiholela ni kuamua tu kujenga myumba za kisasa ili kuacomodate kila mtu.
 
GHIBUU, Kwani ni wazanzibar wote umesikia wanataka kujitoa kama ingekuwa rahisi hivyo kuna nchi nyingi duniani zingekuwa zimeshatengana. Ili kuruhusiwa kutengana ni lazima pande zote mbili wakubaliane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu ila kumekuwa na dhana ya kuchukulia udogo wa znz kuwa ndio sababu pia ya kuendelea kubaki ktk Muungano usio na maslahi yoyote kwa Zanzibar. Zanzibar eneo lipo la kutosha na sehem nyingi zimejengw kiholela ni kuamua tu kujenga myumba za kisasa ili kuacomodate kila mtu.
Ni sawa pia
 
Mimi ni mtangayika halisi lakini nasapoti muungano uvunjwe hauna faida zaidi ya Kunyonyana tu.
Hii habari ya huyu ana mnyonya yule zimekaa kisiasa kuliko kiuhalisia. Kizazi kinachokuja kitaweza ku capitalize kwenye huu Muungano kuliko hiki kizazi cha sasa kilichojaa porojo.
 
Na huko nako tunajitoa
Ile case ilio funguliwa na wazanzibari 40,000 kudai uhalali wa muungano (jamuhuri ya muungano wa tanganyika na Zanzibar) ambayo case hio ilikuwepo EAC Court tuna taarifa kusogea mbele kwa mbele.

Baada ya serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya waziri wa mambo ya nje kuiyandikia barua mahakama ya EAC kujitoa, imeipa uhalali na njia rahisi zaidi case hii ya madai ya wazanzibari kwenda kimataifa zaidi.

Sasa case hii kupelekwa international court of justice huko ulaya Netherlands .

Tunawaombea mafanikio mema wazanzibari wenzangu, naamini haki itapatika Insha Allah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile case ilio funguliwa na wazanzibari 40,000 kudai uhalali wa muungano (jamuhuri ya muungano wa tanganyika na Zanzibar) ambayo case hio ilikuwepo EAC Court tuna taarifa kusogea mbele kwa mbele.

Baada ya serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya waziri wa mambo ya nje kuiyandikia barua mahakama ya EAC kujitoa, imeipa uhalali na njia rahisi zaidi case hii ya madai ya wazanzibari kwenda kimataifa zaidi.

Sasa case hii kupelekwa international court of justice huko ulaya Netherlands .

Tunawaombea mafanikio mema wazanzibari wenzangu, naamini haki itapatika Insha Allah

The Hague tena?

International Court of Justice - Wikipedia
 
Wenyewe wakitaka kujitenga waache wajitenge ni kama mwanamke tu kama hataki mwache aende zake!!
 
Ile case ilio funguliwa na wazanzibari 40,000 kudai uhalali wa muungano (jamuhuri ya muungano wa tanganyika na Zanzibar) ambayo case hio ilikuwepo EAC Court tuna taarifa kusogea mbele kwa mbele.

Baada ya serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya waziri wa mambo ya nje kuiyandikia barua mahakama ya EAC kujitoa, imeipa uhalali na njia rahisi zaidi case hii ya madai ya wazanzibari kwenda kimataifa zaidi.

Sasa case hii kupelekwa international court of justice huko ulaya Netherlands .

Tunawaombea mafanikio mema wazanzibari wenzangu, naamini haki itapatika Insha Allah
Screenshot_20191230_064022.jpg
 
Back
Top Bottom