Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe (CHADEMA) na wenzake watatu yaahirishwa mpaka Januari 10, 2022

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,765
218,386
Mwamba Mbowe na wenzake wataendelea kusota Rumande mpaka mwaka ujao ambako pingamizi la upande wa utetezi kuhusu vielelezo litatolewa uamuzi.

Hayo yamesemwa leo Mahakamani na Mtukufu Jaji Tiganga alipokuwa anaahirisha kesi hiyo

Mashine_za_kufanya_kipimo_cha_pressure_ukiwa_nyumbani_kwako_za_kisasa_zinazosoma_majibu_kwa_mf...jpg
 
Mwamba Mbowe na wenzake wataendelea kusota Rumande mpaka mwaka ujao ambako pingamizi la upande wa utetezi kuhusu vielelezo litatolewa uamuzi.

Hayo yamesemwa leo Mahakamani na Mtukufu Jaji Tiganga alipokuwa anaahirisha kesi hiyo

View attachment 2051207
Aendelee kukaa mahala salama kwa sababu wapambe wake walimsemea kwamba hawataki msamaha bali wanasuboria haki.
 
Back
Top Bottom