Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
nafikiri jaji anatakiwa awe makini, kwasababu mnaweza kuona kama amewamaindi ccm, kumbe yeye anaweza kukurupuka kufanya chochote huku akilini mwake akiwa ametengeneza mazingira ya hao kina ccm kuja kushinda kesi kwenye rufaa, hivyo namshauri aende polepole tu ili haki itendeke na kama hukumu ikitoka dhidi ya ccm, basi pasiwepo mianya ya kukata rufaa na kushinda kwenye rufaa....majaji wengi na mahakimu wamekuwa wakifany ivi....wanaangalia mianya yote ya kuharibu kesi wakiona haiwezekani, wanatoa hukumu nzuri tu, lakini ndani ya hukumu ile na ndani ya mwenendo mzima wa kesi kuanzia mwanzo hadi mwisho anaweka mazingira yatakayokuja kuonyesha kuwa alikosea na hivyo hao waliohukumiwa kushinda kwenye rufaa.