Jamani, samahani kuwatoa kwenye mada. Nimeangalia hii picha, hivi huyu polisi kweli anaweza kufukuzana na kibaka na akamkamata?[/QUOTE
Hata mimi nilikuwa namshangaa huyu njagu. Anaweza kumkimbiza mwizi na kumkamata kwa kutumia remote control (kidding).
Anyway, askari huyu ni kielelezo kuwa tuna jeshi lililojisahau na lisiloweza kutekeleza wajibu wake ipasayo.