Kesi ya mwanachuo Mary na wenzake kusikilizwa leo

Kesi ya mwanachuo Mary na wenzake kusikilizwa leo

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa leo Jumatatu Julai 14, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mary na wanafunzi wenzake wanakabiliwa na mashitaka tisa, likiwemo la kutishia kuua, kutoa taarifa za uongo mitandaoni na uharibifu wa mali za mwanafunzi mwenzao

Mbali na Mary, wanafunzi wengine katika kesi hiyo ni Ryner Mkwawili wa Chuo Kikuu Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Asha Juma, wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Dar es Salaam (TIA)

Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamula na leo Julai 14, 2025 imepangwa kwa ajili ya kutajwa na kuangalia iwapo upelelezi wa shauri hilo umekamilika au laa

Hata hivyo, washtakiwa wote wapo nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana

1752476977743.png

Chanzo: Mwananchi_official
 
Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa leo Jumatatu Julai 14, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mary na wanafunzi wenzake wanakabiliwa na mashitaka tisa, likiwemo la kutishia kuua, kutoa taarifa za uongo mitandaoni na uharibifu wa mali za mwanafunzi mwenzao

Mbali na Mary, wanafunzi wengine katika kesi hiyo ni Ryner Mkwawili wa Chuo Kikuu Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Asha Juma, wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Dar es Salaam (TIA)

Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamula na leo Julai 14, 2025 imepangwa kwa ajili ya kutajwa na kuangalia iwapo upelelezi wa shauri hilo umekamilika au laa

Hata hivyo, washtakiwa wote wapo nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana

Chanzo: Mwananchi_official
Watiwe mimba wazae kwa uchungu
 
Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa leo Jumatatu Julai 14, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mary na wanafunzi wenzake wanakabiliwa na mashitaka tisa, likiwemo la kutishia kuua, kutoa taarifa za uongo mitandaoni na uharibifu wa mali za mwanafunzi mwenzao.

Mbali na Mary, wanafunzi wengine katika kesi hiyo ni Ryner Mkwawili wa Chuo Kikuu Ardhi Dar es Salaam (ARU) na Asha Juma, wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Dar es Salaam (TIA).

Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamula na leo Julai 14, 2025 imepangwa kwa ajili ya kutajwa na kuangalia iwapo upelelezi wa shauri hilo umekamilika au laa.

Hata hivyo, washtakiwa wote wapo nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
 
Mafala sana hawa wenzao huwa hawagombei mtu chuo, maana ukimaliza kila kitu kinaishia pale.
 
Back
Top Bottom