Tujiandae kwa uchaguzi mdogo wa Ubunge Arusha Mjini. Kesi hii imekula kwa Lema....na kuna dalili kuwa ubunge ndo bye bye manake huenda asiruhusiwe kugombea tena kutokana na uzito wa kosa na matusi dhidi ya mgombea mwenzake. Pia iwapo atabahatika kugombea, hakika atabwagwa. Wana Arusha wameshatambua kuwa walifanya kosa kubwa kumchagua mhuni.
Kwani haiwezekani kumkataa????
Jaji Mujulizi anasimamia kesi ya uongo uliotungwa dhidi ya Lema kuhusu madai mbali mbali ikiwemo udini , je ye mwenyewe kama alipewa nafasi ya ujaji baada ya kusilimu ( alikuwa mkiristo na akabadili dini kuwa mwisilamu) je ataweza kusimamia haki dhidi ya uongo huu , kwani hata sasa ameanza kuonyesha mapungufu makubwa .
ebe tuangalie nini kitatokea mahakamani leo baada ya Mbunge Lema kurudi kuwasiliana na mawakili zake.
labda (MB) wako ndiyo atapoteza kiti chake.
Hata kama amesoma na akina Andengenye haijalishi kwani haki itasimama kuwa hakitu huyo atajihukumu mwenyewe! Na hata ikiwezekana atajinyonga na familia yake.Mkuu, Sheria ni taaluma sio porojo za mitaani.
Jaji Aloyce Mujulizi, ni mtu makini na msomi anaefanya kazi zake kwa mujibu wa sheria za nchi.
Ni katika Majaji maarufu nchi, huyu ndio alietoa hukumu Tabora majambazi matatu yanyongwe
Huyu Jaji Aloysius Mujulizi hawezi kutenda haki kwa kesi inayohusu Mh. Lema - namjua alikotoka.
Kwa kuongezea tu kwenye blue, huyu jamaa alikuwa ni mwanasheria wa Jiji kabla ya kuteam up na Masha ili wasajili yale makampuni ya kitapeli: Deep Green etc na ndo yaliwapa mihela hadi wakanunua jengo Upanga. Kampuni ya IMMA Advocates pamoja na majina yaliyotajwa hapo juu kuna jina la mwanamama anaitwa Margai - hivi sasa ni balozi wetu Washington baada ya kuhama kutoka London.
Kwa kuwashukuru IMMA kumpa sponsorship Ritz JK alimpa Mujulizi Ujaji, Masha akapewa unaibu waziri na Margai akapewa ubalozi.
Yule advocate jeuri aliyewahi kumtukana Hakimu ambaye ni binti wa Karume naye anafanya kazi pale, ila nasikia Ritz hayuko nao tena kwani yuko busy na shughuli zake nyingine (hawaivi tena na Masha).
Mkuu Kilewo, Vita ni vita na CCM wanatumia vyombo vya dola kuikabili CHADEMA kwa vyovyote vile....tujipange na tuwe tayari kwa lolote
Hata kama amesoma na akina Andengenye haijalishi kwani haki itasimama kuwa hakitu huyo atajihukumu mwenyewe! Na hata ikiwezekana atajinyonga na familia yake.
Kila mtu mwenye akili na anayejua sheria ameshanga sana maamuzi aliyetoa Jaji Mujulizi jana katika kuhukumu pingamizi ambalo mawakili wa Mbunge Lema walikuwa wameweka dhidi ya walalamikaji , hata hivyo mbunge wa Arusha mjini amekatisha safari yake jana mjini Hanang alipofanya mkutano mmoja akiwa njiani kuelekea Igunga kushahuriana na mawakili wake ni nini cha kufanya na leo baadae ataondoka kuelekea Igunga kwenye mapambano.
Hata hivyo kwa uchache unaweza kumfahamu Jaji mujulizi historia yake kidogo ili ujiulize je haki itatendeka ?
Kabla ya kuteuliwa kuwa jaji aliikuwa na mkurugenzi katika kampuni ya sheria ya IMMA ( ambayo kirefu chake ni ISHENGOMA,MASHA, NA MUJULIZI hata mpaka leo yeye ni mbia.
Kampuni hii ya sheria ndiyo aliyomsomesha Riziwani Kikwete Uingereza wakati Rizwan alipokuwa ana practise law kwao ,
Kampuni hii mpaka leo mtoto wa Karume Fatuma Karume bado anafnya kazi na ni mwanaisa mmojawapo wa kampuni hii.
Jaji Mujulizi anasimamia kesi ya uongo uliotungwa dhidi ya Lema kuhusu madai mbali mbali ikiwemo udini , je ye mwenyewe kama alipewa nafasi ya ujaji baada ya kusilimu ( alikuwa mkiristo na akabadili dini kuwa mwisilamu) je ataweza kusimamia haki dhidi ya uongo huu , kwani hata sasa ameanza kuonyesha mapungufu makubwa .
ebe tuangalie nini kitatokea mahakamani leo baada ya Mbunge Lema kurudi kuwasiliana na mawakili zake.
Ufafanuzi Balozi wa TZ Washington ni Mwanaidi Maajar , partner wa REXATTORNEYS, hana uhusiano na IMMA. Acheni kupotosha umma, suala na udini haliambatanio na uteuzi wa majaji. Kinachochatakiwa ni CDM kukusanya nguvu kuangalia wapi mawakili wenu wameanguka na kujenga hoja, nafasi mnayo ya kumshawishi JAJI kwa hoja na wala siyo kulalama kuwa kuna uonevu!!!