Kesi ya Mbowe na wenzake, Serikali isitese watu bila sababu

Hatuingilii mwenendo wa Mahakama lakini kuna mambo yapo dhahiri ambayo, laiti kama Jaji angekuwa makini, Mawakili wa Serikali wasingekuwa wanaichezea Mahakama kama wanavyofanya.
Kama ambavyo akina Kingai hawakujipanga ndivyo na Akina Robert Kidando hawakujipanga.

Hii kesi ikiisha tu Kidando anakuwa Jaji
 
Ingekuwa jambo zuri kuundwa kwa tume huru kuchunguza mienendo ya task forces zilizokuwepo na kuchunguza watu kama kina Swila, Goodluck , Jumanne, Mahita pamoja na watu waliokuwa wakiwapa orders.
Polisi ndio walalamikaji, washtaki, wapelelezi, wachunguzi n.k
 
Kiukweli kinacho watokea Jamhuri kwenye hii kesi, ni aibu tu na ambayo hawakuitarajia hata kidogo.

Na wafahamu fika Watanzania wengi tunaifuatilia hii kesi kwa umakini mkubwa, ili kujua mwisho wake.
Walidhani wanamkomoa Mbowe na Chadema.

Eti mashahidi ndio wana hofu na kutetemeka kuliko washtakiwa wanaokabiriwa na kitisho cha miaka 30 jela.

Uliona wapi hiyo?
 
Rais hakudanganywa kwa Sababu yeye ndiye aliamulu Mbowe akamatwe kisa na mkasa ni katiba mpya. Hangaya alidai wasubili asimamishe uchumi akina Mbowe wakakataa hivo Rais akaona kama vile kazalauliwa. Mama akaamua kutumia mamlaka kumdhibiti Mbowe.
Hatimaye Muda umekuwa na ukweli zaidi.
 
Hatuingilii mwenendo wa Mahakama lakini kuna mambo yapo dhahiri ambayo, laiti kama Jaji angekuwa makini, Mawakili wa Serikali wasingekuwa wanaichezea Mahakama kama wanavyofanya.

Mathalani, leo mawakili wa Serikali wanasema eti shahidi hawezi kuendelea na kuhojiwa kwa sababu ameshauriwa na daktari kupumzika kwa siku mbili. Tuamini kuwa habari hii ya kutengenezwa ni ya kweli.

Halafu wanasema, hata kesho hawawezi kuleta shahidi mwingine kwa sababu wanaweza wasimpate. Mambo ya kujiuliza:

1) Kama shahidi asingeugua jana, huenda Kibatala angemaliza cross examination jana, na leo serikali ingetakiwa kuwa na shahidi mwingine. Kwa maelezo ya hawa mawakili wa serikali kuwa hawana shahidi ambaye yupo tayari kuja kesho kutoa ushahidi wake, ina maana hata kama Kibatala angemaliza cross examination jana, leo wasingeleta shahidi mwingine? Au walifahamu toka mwanzo kuwa shahidi angeugua jana?

2) Baada ya shahidi kuugua jana, na kisha kwenda hospitali, ilitegemewa leo angekuja mahakamani. Na kama angekuja mahakamani, basi Kibatala huenda angemaliza cross examination yake leo, na kesho serikali ingehitajika kuleta shahidi mwingine. Hawa mawakili wa serikali wanaosema hawana shahidi wa kumleta kesho ili kesi iendelee, ina maana hata kama Kibatala angemaliza cross examination leo, kesho wasingeweza kumleta shahidi mwingine? Au walijua toka jana au juzi kuwa shahidi angeugua jana, leo angeambiwa na daktari apumzike kwa siku 2, na hivyo cross examination isingemalizika leo, na hivyo kutokuwepo umuhimu wa kuandaa shahidi mwingine?

Polisi na Mawakili wa Serikali wasiichezee mahakama na wasiwafanye watanzania wote ni wajinga. Wafahamu kuwa huku nje ya polisi na nje ya Serikali, kuna watu wana akili na weledi hata wa kuwazidi wao maradufu.
Mkuu iache ibaki hivyo hivyo.
Ukuu wa MUNGU unazidi kuwa dhahiri.
 
Shetani hana sababu anapoamua kumtesa binadamu, huwa anasikia raha anapomuona binadamu anateseka!
Hivyohivyo, uzao wa shetani raha yao ni kutesa watu bila sababu yoyote kisa tu wanasikia raha!
 
Hatuingilii mwenendo wa Mahakama lakini kuna mambo yapo dhahiri ambayo, laiti kama Jaji angekuwa makini, Mawakili wa Serikali wasingekuwa wanaichezea Mahakama kama wanavyofanya.

Mathalani, leo mawakili wa Serikali wanasema eti shahidi hawezi kuendelea na kuhojiwa kwa sababu ameshauriwa na daktari kupumzika kwa siku mbili. Tuamini kuwa habari hii ya kutengenezwa ni ya kweli.

Halafu wanasema, hata kesho hawawezi kuleta shahidi mwingine kwa sababu wanaweza wasimpate. Mambo ya kujiuliza:

1) Kama shahidi asingeugua jana, huenda Kibatala angemaliza cross examination jana, na leo serikali ingetakiwa kuwa na shahidi mwingine. Kwa maelezo ya hawa mawakili wa serikali kuwa hawana shahidi ambaye yupo tayari kuja kesho kutoa ushahidi wake, ina maana hata kama Kibatala angemaliza cross examination jana, leo wasingeleta shahidi mwingine? Au walifahamu toka mwanzo kuwa shahidi angeugua jana?

2) Baada ya shahidi kuugua jana, na kisha kwenda hospitali, ilitegemewa leo angekuja mahakamani. Na kama angekuja mahakamani, basi Kibatala huenda angemaliza cross examination yake leo, na kesho serikali ingehitajika kuleta shahidi mwingine. Hawa mawakili wa serikali wanaosema hawana shahidi wa kumleta kesho ili kesi iendelee, ina maana hata kama Kibatala angemaliza cross examination leo, kesho wasingeweza kumleta shahidi mwingine? Au walijua toka jana au juzi kuwa shahidi angeugua jana, leo angeambiwa na daktari apumzike kwa siku 2, na hivyo cross examination isingemalizika leo, na hivyo kutokuwepo umuhimu wa kuandaa shahidi mwingine?

Polisi na Mawakili wa Serikali wasiichezee mahakama na wasiwafanye watanzania wote ni wajinga. Wafahamu kuwa huku nje ya polisi na nje ya Serikali, kuna watu wana akili na weledi hata wa kuwazidi wao maradufu.
Hoja zako zinafikirisha Sana,japo inasadikika kuwa mawakili wote mpaka jaji siyo wa dar es salaam, hivyo kila siku wanayospend Dar wana per diem.

Na isitoshe hii kesi imeonyesha doubts nyingi upande wa jamhuri na inawezekana wanajua mwisho wake utakuwaje.

Kama ni kweli Kuna malalamiko kuhusiana na sheria ya mahakama inayosema ikitokea simu imelia mahakamani unatolewa nje na ili urudi sharti uombe msamaha kwa maandishi kupitia kwa msajiri wa mahakama ili uruhusiwe kuingia mahakamani, na hili ni tatizo ambalo huwapata wengi, kwenye kesi hii imewatokea wengi na wengi wamefuata utaratibu wa kuomba msamaha kama kanuni zinavyoelekeza.

Ajabu kwa wale wanachadema waliopata shida hiyo kumekuwa na urasimu mkubwa sana kukubaliwa na hata mtoto.wa Mbowe ni mhanga wa hili.

Hivyo kwenye kesi hii linafanyika lolote mradi liwatese watuhumiwa,mashabiki au jamaa zao, mfano ni hilo suala ulilolizungumzia.kweli haingii akilini eti wakili anatamka muda wa kuwatafuta mashahidi hautoshi na anamwambia jaji na yeye anakubali. Unamtafuta shahidi vipi wakati wapo na mahakama inajua wapo.
 
Huyo wakili wenu mnamwita msomi ndio anarefusha kesi kwa maswali ya kipuuzi
.
Wakili:siku flani ulikula wali nyama
Shahidi:ndiyo
Wakili:na maji?
Shahidi:ndiyo
Wakili:yanaitwaje?
Shahidi sikumbuki
Wakili:ulipewa ndizi?
Shahidi hapana
Wakili:kwanini hukupewa?
Bla , blaah ,blaah blaa
Kesi imeahirishwa.
Lmao wtf.
Maswali hayo hayo ya kipuuzi, Askari wenu aliharisha kila kitu, na sasa hivi anapumulia mashine! Na kuna wakati kesi ikiendelea alipigwa maswali ya ‘kipuuzi’ mpaka akanena kwa lugha baada ya kupandisha mashetani!
 
Hatuingilii mwenendo wa Mahakama lakini kuna mambo yapo dhahiri ambayo, laiti kama Jaji angekuwa makini, Mawakili wa Serikali wasingekuwa wanaichezea Mahakama kama wanavyofanya.

Mathalani, leo mawakili wa Serikali wanasema eti shahidi hawezi kuendelea na kuhojiwa kwa sababu ameshauriwa na daktari kupumzika kwa siku mbili. Tuamini kuwa habari hii ya kutengenezwa ni ya kweli.

Halafu wanasema, hata kesho hawawezi kuleta shahidi mwingine kwa sababu wanaweza wasimpate. Mambo ya kujiuliza:

1) Kama shahidi asingeugua jana, huenda Kibatala angemaliza cross examination jana, na leo serikali ingetakiwa kuwa na shahidi mwingine. Kwa maelezo ya hawa mawakili wa serikali kuwa hawana shahidi ambaye yupo tayari kuja kesho kutoa ushahidi wake, ina maana hata kama Kibatala angemaliza cross examination jana, leo wasingeleta shahidi mwingine? Au walifahamu toka mwanzo kuwa shahidi angeugua jana?

2) Baada ya shahidi kuugua jana, na kisha kwenda hospitali, ilitegemewa leo angekuja mahakamani. Na kama angekuja mahakamani, basi Kibatala huenda angemaliza cross examination yake leo, na kesho serikali ingehitajika kuleta shahidi mwingine. Hawa mawakili wa serikali wanaosema hawana shahidi wa kumleta kesho ili kesi iendelee, ina maana hata kama Kibatala angemaliza cross examination leo, kesho wasingeweza kumleta shahidi mwingine?

Au walijua toka jana au juzi kuwa shahidi angeugua jana, leo angeambiwa na daktari apumzike kwa siku 2, na hivyo cross examination isingemalizika leo, na hivyo kutokuwepo umuhimu wa kuandaa shahidi mwingine?

Polisi na Mawakili wa Serikali wasiichezee mahakama na wasiwafanye watanzania wote ni wajinga. Wafahamu kuwa huku nje ya polisi na nje ya Serikali, kuna watu wana akili na weledi hata wa kuwazidi wao maradufu.
Kila ubaya utalipwa
 
Ingekuwa jambo zuri kuundwa kwa tume huru kuchunguza mienendo ya task forces zilizokuwepo na kuchunguza watu kama kina Swila, Goodluck , Jumanne, Mahita pamoja na watu waliokuwa wakiwapa orders.
ACP Kingai na DCI Robert Boaz
 
Back
Top Bottom