avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,305
- 12,702
Si umerudi pale pale tulipoanzia mwanzo? Umewahukum masheikh wa watu kwa kuwatuhum tuhuma nzito nzito...nikasema tuache vyombo husika vifanye kazi zao. Nikakuuliza unauhakika hawa wanahusika na tuhuma zote zimeandikwa hapo juu?
Bora unstambua kwamba hakimu wa kweli na anaetoa haki ni Mungu pekee.
Ni kweli na unapowaombea shufwaa kwa kuwa Siri anayo Mungu na watendaji wenyewe kumbuka vilevile kuwaombea ambao walipata vilema katika.maisha yao wapo ,.wanateseka hadi leo kisa kutofautiana kiitikadi, wakumbuke waliofariki kwa vuguvugu na hamasa.zao yawezekana hawakufanya wao ikawa ni wafuasi wao waliojaa jazba ya Daawa waliolishwa na kwenda kuyatekeleza bila.wahamasishaji kujua.lakini kisheria wahamasishaji.ni SINE QUO NON