James alamba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 216
- 106
Naomba mnisaidie ili waungwana nina ndugu yangu alisingiziwa kosa la uwizi wa sh million mbili.
Baada ya hapo akawekewa dhamana na rafiki yake ila sasa alipoona ameshindwa kulipa hizo fedha akibidi akimbie kama kwa mwezi mmoja hivi sasa yule aliemuwekea dhamana akakamatwa na akalipia lile deni la milion 2 sasa huyu ndugu ikabidi atafute hela za kumlipa huyo mwenzie bado kapambana lakini ameshindwa kulipa ilo deni sasa leo wamemkata tena polisi ili alipe deni hilo na pesa hana ya kuweza kulipa hilo deni la mkupuo sasa naomba ushauri ni jinsi gani naweza kumsadia kisheria ili aweze kupata unafuu.? Nawasilisha kwenu wadau
Baada ya hapo akawekewa dhamana na rafiki yake ila sasa alipoona ameshindwa kulipa hizo fedha akibidi akimbie kama kwa mwezi mmoja hivi sasa yule aliemuwekea dhamana akakamatwa na akalipia lile deni la milion 2 sasa huyu ndugu ikabidi atafute hela za kumlipa huyo mwenzie bado kapambana lakini ameshindwa kulipa ilo deni sasa leo wamemkata tena polisi ili alipe deni hilo na pesa hana ya kuweza kulipa hilo deni la mkupuo sasa naomba ushauri ni jinsi gani naweza kumsadia kisheria ili aweze kupata unafuu.? Nawasilisha kwenu wadau