Kesi ya madai

James alamba

JF-Expert Member
Dec 23, 2016
216
106
Naomba mnisaidie ili waungwana nina ndugu yangu alisingiziwa kosa la uwizi wa sh million mbili.

Baada ya hapo akawekewa dhamana na rafiki yake ila sasa alipoona ameshindwa kulipa hizo fedha akibidi akimbie kama kwa mwezi mmoja hivi sasa yule aliemuwekea dhamana akakamatwa na akalipia lile deni la milion 2 sasa huyu ndugu ikabidi atafute hela za kumlipa huyo mwenzie bado kapambana lakini ameshindwa kulipa ilo deni sasa leo wamemkata tena polisi ili alipe deni hilo na pesa hana ya kuweza kulipa hilo deni la mkupuo sasa naomba ushauri ni jinsi gani naweza kumsadia kisheria ili aweze kupata unafuu.? Nawasilisha kwenu wadau
 
Naomba mnisaidie ili waungwana nina ndugu yangu alisingiziwa kosa la uwizi wa sh million mbili . Baada ya hapo akawekewa dhamana na rafiki yake ila sasa alipoona ameshindwa kulipa izo fedha akibidi akimbie kama kwa mwezi mmoja ivi sasa yule aliemuwekea dhamana akakamatwa na akalipia lile deni la million 2 sasa uyu ndugu ikabidi atafutr hela za kumlipa uyo mwenzie bado kapambana lakini ameshindwa kulipa ilo deni sasa leo wamemkata tena polisi ili alipe deni ilo na pesa hana ya kuweza kulipa ilo deni la mkopuo sasa naomba ushauri ni jinsi gani naweza kumsadia kisheria ili aweze kupata unafuu.? Nawasilisha kwenu wadau
Nyosha Kwanzaa Maelezo ndio tukushauli aiiimba? Unaposema tena kuwa alisingiziwa inamaana hadaiwiiii? Je ni Deni alipewa? Au alisingiziwa vipi?
 
Nyosha Kwanzaa Maelezo ndio tukushauli aiiimba? Unaposema tena kuwa alisingiziwa inamaana hadaiwiiii? Je ni Deni alipewa? Au alisingiziwa vipi?
Walienda sehemu na mwenzie kufanya biashara walipo lala guest waliibiwa izo pesa million 4 sasa mwenzei akampeleka polisi kwa kusema yeye ndio kaiba. Kutoka walikuwa wamechanga ndio mwenzio akamwambia amlipe million 2 akawa hana pesa maana na yeye pia alikuwa ameibiwa izo nyingine so akawekwa ndani ndio kuna mtu kamtolea dhamana na kumlipia izo pesa 2 million sasa hana hela ndio anajitafuta amlipe kidogokidogo nae kamkamata kamuweka ndani
 
Hana shukrani yani mwenzake kamwekea dhamana then kakimbia na kumuachia mwenzake msala hadi kulipa deni lisilo lake.
Acha na yeye akome hana roho ya utu kabisa pumbavu zake jamaa asilegeze mpaka atapike ela yake
 
dawa ya deni ni kulipa si kukimbia. asipokuwa kamini wanamfunga na akumbuke kuwa hilo linlomkabili ni kosa la jinai. anaweza kuni PM kama anahitaj msaada zaid.
 
Back
Top Bottom