otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 100
- 135
Ndugu wana JamiiForums, nina kesi ya madai ambapo upande wa pili una wakili na upande wangu nilimuweka wakili akala hela akaingia mtini.
Tulipewa muda wa kupeleka majibu ya hoja zilizokuwa zimetolewa na upande wa pili lakini kutokana na mwanasheria wangu kutokuwa na ushirikiano, nikaomba kuongezewa muda wa kuleta majibu ambapo nilimpa mwanasheria mwingine aandae majibu lakini hayakukamilika kwa wakati ambao ulipangwa na mahakama.
Nilipofika mahakamani ikapangwa tarehe ambayo mahakama itatoa maamuzi au la.
Naombeni ushauri nifanye nini kwakuwa mdeni tulikuwa tunalipana na slip za benki zipo na kiasi alichoandika kuwa ananidai si kweli.
Tulipewa muda wa kupeleka majibu ya hoja zilizokuwa zimetolewa na upande wa pili lakini kutokana na mwanasheria wangu kutokuwa na ushirikiano, nikaomba kuongezewa muda wa kuleta majibu ambapo nilimpa mwanasheria mwingine aandae majibu lakini hayakukamilika kwa wakati ambao ulipangwa na mahakama.
Nilipofika mahakamani ikapangwa tarehe ambayo mahakama itatoa maamuzi au la.
Naombeni ushauri nifanye nini kwakuwa mdeni tulikuwa tunalipana na slip za benki zipo na kiasi alichoandika kuwa ananidai si kweli.