Heparin
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 440
- 3,211
Kesi mbili zinazomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu zitasomwa kwa mara nyingine leo hii. Tutarajie nini hasa, Lissu ataletwa kweli Mahakamani? Polisi watatii amri ya Mahakama? Lakini je, mwitikio wa wananchi utakuwaje ndani na nje ya viunga vya Mahakama hiyo?
Pia soma LIVE - Yanayojiri Kesi ya Tundu Lissu Mei 19, 2025
Fuatilia live mfululizo wa kila Kinachojiri Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye kesi ya Tundu Lissu, leo Mei 19, 2025.
Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya Willy Mutunga na baadhi ya waandishi wa Habari na wanasiasa kutoka Kenya waliosafiri kufuatilia kesi hii wameshikiliwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere tangu saa 9 alfajiri.
Hata hivyo, Polisi wameonekana pia kuwepo Makahamani hapo wakiimarisha ulinzi.
Pia soma Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar, Jaji Mkuu mwingine mstaafu David Maraga afanikiwa kupenya Kisutu
Pia soma LIVE - Yanayojiri Kesi ya Tundu Lissu Mei 19, 2025
Fuatilia live mfululizo wa kila Kinachojiri Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye kesi ya Tundu Lissu, leo Mei 19, 2025.
Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya Willy Mutunga na baadhi ya waandishi wa Habari na wanasiasa kutoka Kenya waliosafiri kufuatilia kesi hii wameshikiliwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere tangu saa 9 alfajiri.
Hata hivyo, Polisi wameonekana pia kuwepo Makahamani hapo wakiimarisha ulinzi.
Pia soma Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar, Jaji Mkuu mwingine mstaafu David Maraga afanikiwa kupenya Kisutu
Ni vizuri mashabiki wake waachwe wakasikilize kesi kwa amani, kuwapiga inaharibu sana taswira ya nchi na kuwapa nguvu zaidi na kumpaisha kimataifa mhusika, kesi ikiendeshwa kwa amani hakuna mileage atakayopata itakuwa tu kama kesi zingine ambazo nobody knows them