Hizi 'technicalities' za sheria na taratibu za mahakama zimesababisha watu wengi kupoteza haki zao huko mahakamani. Na wanasheria wengi wamesaidia kushinda kesi nyingi kwa technicalities badala ya hukumu ya haki kwa kesi husika.
===========================================================================
Nashauri tutafute takwimu za wanasheria wameshinda kesi ngapi kwa kutumia technicalities na ngapi za kuhakikisha kesi imehukumiwa kwa haki.
Nasikia mishahara serikalini inashuka, smart brain wa kujitolea utawapata wapiNdio tatizo la kuajiri vilaza serikalini huku wakiacha vichwa wanaajiriwa na sekta binafsi. Hii ipo tofauti na nchi nyingi zilizoendelea duniani ambapo 'vichwa' huchukuliwa na serikali kwanza. Nchii hii utaratibu wa vilaza kuwa mpaka kiongozi mkuu ndio uliotupelekea huku
WA Harvard Si kina nyoka wa makengeza!, wanapiga dili huku wanatukana kwa sauti halafu hakuna wa kuwagusa kisheria.Hapo umenena mkuu wa Havard wako mtaani
Radika,Sio elimu mkuu ni uadilifu na kutanguliza maslahi ya taifa wengi wanafanya mambo kulinda matumbo yao posipohitaji kutumia taaluma zao chenge mwenyewe kagonga kitu cha havard lakin ona anachofanya.
Pesa nzuri Sana mkuuPesa mbaya sana wakuu
Nakubaliana na wewe!Ndio tatizo la kuajiri vilaza serikalini huku wakiacha vichwa wanaajiriwa na sekta binafsi. Hii ipo tofauti na nchi nyingi zilizoendelea duniani ambapo 'vichwa' huchukuliwa na serikali kwanza. Nchii hii utaratibu wa vilaza kuwa mpaka kiongozi mkuu ndio uliotupelekea huku
Umemsahau shujaa Kasusura, alikunja mkwanja wote njia panda ya ulaya. Akataka Kula peke yake ndio kilichomponzaKesi dhidi ya jamhuri ni nyepesi sana , ni Babu seya peke yake ndio alishindwa .
tutaona na kusikia mengi. kesi ya vigogo siijui kama wataweza kununua haki kama kawaida kwenye ile awamu iliyopita? inaelekea maduka ya kuuza haki bado yako wazi.Leo Mahakama Kuu Dar imetupilia mbali rufaa ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashataka(DPP)dhidi ya Kitilya na wenzake, yaishauri Jamhuri kurudi Kisutu kufanya marekebisho ya shtaka hilo.
Jumanne wiki hii Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilisema kuwa jalada la kesi inayowakabili aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mwenyekiti wa Enterprise Growth Market Advisors Ltd (EGMA), Harry Msamire Kitilya na wenzake kimsingi bado lipo Mahakama Kuu na kwamba washtakiwa hao walitakiwa kwenda mbele ya Jaji Mfawidhi kwa maelekezo mengine.
Hayo yalisemwa na Hakimu Mkazi, Emilius Mchauru pale kesi ya washtakiwa hao ilipokuja kwa ajili ya kutajwa baada ya mawakili wa pande zote mbili kusema ya kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kupata maelekezo kutoka Mahakama Kuu kama ilivyoamuliwa mara ya mwisho.
it is possible kwa kweliserikali haitakiwi kupeleka kesi mahakamani ikashindwa ni fedheha na hasara kwa taifa.DPP Wanauza kesi bila shaka
Mheshimiwa magufuli peleka mswada wa kuondoa kinga ya rais ndio mambo yatakaa sawa
Kesi nyingine ni mashinikizo ya Kisiasa kwa malengo fulani. Hizo kesi hata umpe malaika apambane na mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Sheria,huyo malaika atashindwa tu. Hakuna cha Lawyers wa Serikali kushirikiana na wa kujitegemea kuihujumu serikali, Ukweli utabaki kuwa Ukweli, HII KESI INA WALAKINI TANGU MWANZO, Serikali inapoteza Muda na Fedha kwa kutaka Sifa!Mawakili wa serikali(wanasheria) wanaungana na mawakili wa washtakiwa kuhujumu Jamhuri...
Tunaweza kuliondoa hili kwa wanasheria kuwa POLISI isiwe kama sasa polisi wanakusanya ushahidi na kisha jalada kulipeleka kwa wanasheria(ambao imegundulika wengi wanahujumu)...
Wanasheria wangekuwa MAPOLISI wangejua ni ugumu kiasi gani kupata taarifa za wahalifu.. Kuliko sasa hawana uchungu wowote.
Uwezo wa kuzuia dhamana Hana, Mahakama ndiyo yenye last say linapokuja suala la haki.Na hata hivyo bado DPP anamamlaka ya kuiondoa hiyo kesi na kuwasilisha hati mpya ya mashtaka akilijumuisha na hilo la kutakatisha fedha baada ya kulifanyia marekebisho yalompa upenyo hakimu kulifuta, wanaachiwa na kukamatwa tena.
Au pia anamamlaka ya kuzuia hiyo dhamana so wala hakuna cha kufurahia maana mchezo ndo kwanza umeanza na hauhitaji hasira unless otherwise DPP awe compromised.
Hii ndiyo Tanzania SIO inakuwa NDIO vice versa,ukiiba nyingi hufungwi.Nasema tena hii kesi akina kitilya watashinda Na watadai fidia jamuhuri