mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Wadau naomba kuelimishwa kuhusu kesi za ubadhirifu wa mapesa ambazo watuhumiwa walifikishwa mahakamani. lakini kwa sasa mambo yamekuwa kimya sijui ni mimi tu sipati muendelezo wa habari kuhusu hizi kesi mfano EPA, RICHMOND, IPTL na zinginezo.
Au vyombo vya habari wamechoka kuandika kuhusu hizi kesi kwani haieleweki kama wale ni bado watuhumiwa au washitakiwa.
naomba mwenye kuelewa mnijuze.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Au vyombo vya habari wamechoka kuandika kuhusu hizi kesi kwani haieleweki kama wale ni bado watuhumiwa au washitakiwa.
naomba mwenye kuelewa mnijuze.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!