Ukiwa mjini utashangaa kuna kazi nyingi ili ziendelee zinategemea ujinga wa watu.
Kwenye lile suala la klabu moja inayoendeshwa kwa propaganda na milungura ya kutosha kununua mechi kwa njia ya kuhujumu kushirikiana na kampuni moja la betting,waliingia kwenye 18 za mawakili wasomi wakaweka pesa za kutosha lakini ni kwa ujinga tu na mihemko wakaenda CAS.
Nina uhakika mawakili wao walijua tu kuwa hii haiendi popote Ila uzuri ilikuwa ni fursa tu ya kupiga za wajinga.
Nakumbuka hata rais wa tls alitanabahisha mapeema mno kwamba hawatapata kitu huko CAS.
Tunaambiwa club yote ina watu wawili tu wenye akili nao wamezeeka kwa sasa.
Wengine wote hata ukiwa na PhD bado huwezi kuwa na tofauti na mtu aliyekimbia shule ya msingi.
Kwenye lile suala la klabu moja inayoendeshwa kwa propaganda na milungura ya kutosha kununua mechi kwa njia ya kuhujumu kushirikiana na kampuni moja la betting,waliingia kwenye 18 za mawakili wasomi wakaweka pesa za kutosha lakini ni kwa ujinga tu na mihemko wakaenda CAS.
Nina uhakika mawakili wao walijua tu kuwa hii haiendi popote Ila uzuri ilikuwa ni fursa tu ya kupiga za wajinga.
Nakumbuka hata rais wa tls alitanabahisha mapeema mno kwamba hawatapata kitu huko CAS.
Tunaambiwa club yote ina watu wawili tu wenye akili nao wamezeeka kwa sasa.
Wengine wote hata ukiwa na PhD bado huwezi kuwa na tofauti na mtu aliyekimbia shule ya msingi.