Kesi ya aibu

Kesi ya aibu

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
191
Reaction score
418
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.

Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.

Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.

Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.

Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.

Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.

Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.

Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....

😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!

"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
😴
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
Wahuni hawa, wallah watakua CCM
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
😴
Vizeee vimalaya Malaya vinapatikana CCM
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft87%2F1.5%2F16%2F1f633.png&hash=eb49c71dc81666c7491d4da90957bf74" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft87%2F1.5%2F16%2F1f633.png&hash=eb49c71dc81666c7491d4da90957bf74" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft87%2F1.5%2F16%2F1f633.png&hash=eb49c71dc81666c7491d4da90957bf74" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft8%2F1.5%2F16%2F1f634.png&hash=16d2b1bbc39f78662cdf0e9221656593" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
 
Back
Top Bottom