Asante...mkuu Max..Hofu yako tu mkuu. Usiishi kwa hofu, kama una hakika na taarifa yenye maslahi ya nchi, wewe weka au tupatie sisi tutajiridhisha kisha kuiweka public.
Max, Mike, na Jamii nzima ya JF, kwanza poleni kwa yote, hizi kesi it's time consuming and eating deep into your pockets, lakini it's worth it to fight for the right cause.kama una hakika na taarifa yenye maslahi ya nchi, wewe weka au tupatie sisi tutajiridhisha kisha kuiweka public.
The intensity ya mapigo ya karma yanategemea umewaumiza watu wangapi, hivyo akitokea kichaa mmoja akaamua kuifunga jf kwa sababu tuu hapendezwi na ukosoaji wetu humu wa ukweli na uwazi, kwa jinsi jf tulivyo wengi, maumivu yetu yatamlaani hivyo kupigwa na kipigo kikubwa cha mapigo ya karma kumtandika, mchana kweupe, tena mbele ya kadamnasi ya watu.Mkakati wa dikteta kuelekea 2020 labda kuwafunga wamiliki wa JamiiForums na kuifunga ili isiendelee kuanika maovu mbali mbali ya dikteta na serikali yake.