Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,069
- 34,839
Kutoka kwenye tovuti ya TAKUKURU mambo yafuatayo yamezunguziwa:
Statistics as from 1995 to April 2010 translate as follows: 43,007 allegations were received since 1995 to April 2010. Not all the allegations being reported are related to corruption.
- Number of administrative actions taken against public servants proven to be inclined to take bribes and other corrupt behavior since 1995 to April 2010 are 912 Public Servants.
- Number of new cases filed into courts since the new Act (PCCA, 2007) became operational are 624 cases.
- Number of convictions against corrupt offenders in courts since 1995 to April 2010 are 203.
- Money recovered by PCCB for the period 1995 to April 2010 is to the tune of Tshs. 97 Billions.
Je, kazi iliyofanywa na Taasisi hiyo sio mfano wa kuigwa ukichukulia kwamba utashi wa kisiasa (Political Will) ya nchi yetu iko chini? Tujadili!
Ninavyoelewa:
TAKUKURU ni chombo cha kisheria, kwa maana kwamba Taarifa wanazopokea na kuzifanyia kazi ni zile tu ambazo kimsingi ni Makosa ambayo yameainishwa katika Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa PCCA, No.11, 2007. Taarifa ambazo hazihusiani na makosa katika Sheria hiyo zinakuwa Refered ktk vyombo vingine vya kisheria/dola e.g Polisi etc. That means PCCB wanaweza pokea taarifa nyingi lkn zinazofanyiwa kazi ni zile tu ambazo zinahusisha makosa yaliyoainishwa ktk sheria yao, ambazo hawahusiki nazo zinakuwa refered pengine.
Ninavyoelewa:
TAKUKURU ni chombo cha kisheria, kwa maana kwamba Taarifa wanazopokea na kuzifanyia kazi ni zile tu ambazo kimsingi ni Makosa ambayo yameainishwa katika Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa PCCA, No.11, 2007. Taarifa ambazo hazihusiani na makosa katika Sheria hiyo zinakuwa Refered ktk vyombo vingine vya kisheria/dola e.g Polisi etc. That means PCCB wanaweza pokea taarifa nyingi lkn zinazofanyiwa kazi ni zile tu ambazo zinahusisha makosa yaliyoainishwa ktk sheria yao, ambazo hawahusiki nazo zinakuwa refered pengine.
Umesahau na ile ya Mengi na Masha. Au Masha na Mengi.
Wakuu media in Tz ziliripoti kwa nguvu kubwa sana kesi hizi zilipoibuka, lakini cha kushangaza ni kama vile zilishajifia, je kuna mwenye updates kuhusu kesi hizi?
1. Rostam Vs Mengi
2. Mengi Vs Rostam
3. Makongoro Mahanga Vs Msemakweli
4. Govt Vs Mahalu & Grace Martin
5. Police Vs Dereva wa Mwakyembe
6. Wenyeviti wa CCM wa mikoa Vs Mwanahalisi
7. Rostam Vs Mwanahalisi
8. Police Vs CUF (Kuhusiana na visu uchaguzi 2005)
9. Mengi Vs Habari Corporation
10. Govt Vs Kweka (Former projecct manager wa BOT)
11. Mengi Vs Masha
12. Masha Vs Mengi
NA JE KESI HIZI HAPA CHINI ZILIFUNGULIWA ?? (maana wahusika walisikika wakisema kwa mbwembwe kwamba wameshawaagiza wanasheria wao kufungua kesi)
1. Rutabanzibwa Vs Dr. Slaa ( List of shame)
2. Vicent Mrisho Vs Dr. Slaa (List of shame)
3. Lowassa Vs Mwanahalisi ( Richmond)
4. Sitta Vs Dr. Slaa (Kuhusiana na wizi wa EPA kwamba documents zimefojiwa).
5. Chenge Vs NBC (Account yake kuwekwa hadharani)
6. Chenge Vs Dr. Slaa (List of shame)
Nyingi ya hizo za kuhusu "List of shame" zilikufa kutokana na ukweli wa tuhuma zilizotolewa na Dr Slaa kule Mwembe yanga. Usisahau kwamba wengi hukimbilia kortini ili kutaka kujikosha mara moja mbele ya umma kuhusu tuhuma nzito zilizotolewa, lakini baadaye huwa hawazifatilii kesi hizo kwani huwa hawana hoja madhubuti za kuzipinga tuhuma hizo mahakamani.
Kuanzia lini Mkwere akawa serious na anachokiongea?[/QUOT
When the character of a man is not clear to you, look at his friends
Kuna ile ya Alex Massawe ya kujihusisha na ujambazi, ilifunguliwa miezi ya mwanzoni kabisa ya JK