Kesi dhidi ya Pinda yapangiwa majaji

Kesi dhidi ya Pinda yapangiwa majaji

paesulta

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2009
Posts
227
Reaction score
29
"Kesi ya LHRC/TLS dhidi ya Waziri Mkuu, imepangiwa Majaji watatu: Jaji Kiongozi Fakhi Jundu, Jaji Augustine Mwarija na Jaji Dr. Fauz Twaibu. Tunasubiri kupata tarehe za kesi kuanza kusikilizwa"
 
Hebu nicheke kidogo kama nishajua mshidi ni nani vile ila ngoja ninyamaze nisiingilie mahakama.....
 
Kama namuona mizengo anamwaga chozi kizimbani...
 
Fiat judicia et runant coel, " Let justice be done though the heavens fall".
 
Hebu nicheke kidogo kama nishajua mshidi ni nani vile ila ngoja ninyamaze nisiingilie mahakama.....

Najua hataitwa hata mahakamani, itatupiliwa mbali... but at least ameburuzwa mahakamani...
 
akipatikana na hatia inabidi Rais atengue uteuzi wake mara moja. patamu hapo, hili muvi tamu.
 
Najua hataitwa hata mahakamani, itatupiliwa mbali... but at least ameburuzwa mahakamani...
wenye record mwageni hapa tuone kama kuna waziri mkuu yoyote africa alishagatinga mahakamani kwa kosa la kuvunja katiba, tusije sisi wa-tz tumeweka ka-record ketu.
 
najua hataitwa hata mahakamani, itatupiliwa mbali... But at least ameburuzwa mahakamani...

bilionea+px.jpg
"tafakari"
 
apigwe tu miaka ya kutosha kwa maana na sisi tumechoka na kauli zake.. Apigwe tu, nasema tu apigwe tu kama hataki kusikiliza raia wake... Apigwe jela 50
 
Back
Top Bottom