Kesho tar 1 jan 2012. Wakazi wa kigamboni wameandaa mgomo mkubwa kabisa kwa kuzuia watu wote kutovuka ktk vivuko hivyo ikiwa ni kupinga ongezeko la nauli kutoka sh 100 hadi sh 200/- wananchi wamehamasika sana ktk hili na watazuia watu wote kuvuka hadi kieleweke na wameondoa tofauti zao za kivyama ktk hili kwani madiwani na wabunge wameliunga hilo.