Kesho tutaweka majina ya Wabunge na majimbo yao kwa watakaopitisha kuuzwa kwa bandari

Tumeyaona live.

Hatutaki tena mambo ya kutazama bandari moja.

Makubaliano na serikali ya falme ya Dubai ni kushirikiana kimaendeleo bandari zote za Tanzania.

Nyie mnaongelea bandari moja tu? Mbona hamjajipanga vizuri? au hamjasoma makubaliabo?

Zidisheni bidii, bado sana kelele zenu hazisikiki. Makubaliano ya kuendeleza ni kwa bandari zote, za baharini na zisizo baharini.


Mmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Naona hata kusoma na kuelewa unachosoma huwezi. Bandari za Zanzibar umeziona humo kwenye huo mkataba?

Hakuna lolote hapa. Hutchison walipovamia hapa hali ilikuwa hivi hivi, wametoka na sasa wanawaachia hawa na wao watatoka tu bila ya mabadiliko yoyote ya maana.

Watu kama wewe mmelemazwa akili kabisa na kudhani hawa wanaokuja hapa ndio watakaowaletea maendeleo badala ya kujibidisha nyinyi wenyewe kuyaleta mabadiliko hayo mnayoyataka.
 
Mmechelewa jamvini karamunimeshaliwa, mkataba wa ushirikiano kimaendeleo na falme ya Dubai signed and sealed.

View attachment 2651757
Tulichochelewa pekee ni hicho alichopewa Samia.
Tanzania ipo na itaendelea kuwepo. Hivi vi-nchi havina uwezo wowote wa kuiyumbisha nchi kama Tanzania hata vingikuwa na ukwasi kiasi gani.
Wanachoweza ni kuwanunua watu wa aina hiyo ya Samia, na muda si muda atatupiliwa mbali na nchi itaendelea.
 
Back
Top Bottom