Kesho ninafunga ndoa natubu dhambi hii

Kesho ninafunga ndoa natubu dhambi hii

Mmeanza kuishi kama mashetani sasa...
Uzuri mlishatahadhalishwa na magufuli!

YANI UNAOLEWA ILI UPATE HESHIMA TU MITAANI!!
 
Vyote alivoandika vya kutunga pitia post zake za awali
 
Umesamehewa mwaya all the best kwenye ndoa I hope kila kitu kitaenda sawa na utamsahau tuu
 
Ulimwengu ukiutafakari unaweza ukavuja ubongo.
 
INNOVATOR Naomba Unisaidia Hilo File Hapo Juu Liwe Lichacheza Moja kwa Moja Mbadala na Lilivyo Sasa Kwa Kudownload Pembeni. Natanguliza Shukrani Zangu
 
Utayafurahia maisha yako kweli kama umeamua kufanya maigizo ya bora uolewe kwa ajili ya heshima katika jamii? Ila kuna uwezekano ndoa ikakufanya ujitulize, ulikuwa unaelekea kubaya, kulalwa na baba na mwana, ni janga.
 
Mimi ni muhaya ila hiyo katerero siijui nimekutana mayo jamii forum
 
Story story tu wakati wa kwaresma ndoa hazifungwi. Na wap huko mnakofungia ndoa?
 
Unatubu au unatuambia? Toba ya kweli ni kati yako na Mungu au nenda kwa padri.
Ila ni aibu kubwa kwako kua na uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom